Wanabodi na wajasiriamali husika na kichwa hapo juu.
Hii ni tractor aina ya MASSEY FERGUSON.
inauzwa na jembe lake kabisa.
Lipo Dsm, ila biashara inafanyika ukiwa popote.
Bei ni Milioni 23(negotiable).
Kwa maelezo zaidi na ukitaka kuliona au kutumiwa picha zaidi nicheki kwenye namba hii...
Mkuu angalia hyo massey ferguson nauza
Ukinunua unapewa na jembe lake
Kwa maelezo zaidi nicheki kwenye namba hii, iwe kawaida au hata whatsApp : 0712138156
Nipo Dsm ila biashara inafanyika ukiwa popote.
Habari wadau.
Hili ni tractor aina ya Massey Ferguson
Horsepower 255.
Tunakupatia na jembe lake bure ukinunua tractor.
Lipo maeneo ya Bunju. Japo biashara itamuhusisha mtu aliyepo popote.
Kwa mawasiliano zaidi
Piga namba hizi: +255712138156
Alafu tule mtoto wa wangwe bado ameshikamana nao hawa mafedhuli chadomo...
Bob unapoteza umekaa meza moja na watu waliokatisha pumzi ya babayo... Na ukiendela kukaa nao, laana ya babayo ikushukie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.