Recent content by MUWHWELA

  1. MUWHWELA

    Kufungua makanisa ya Gwajima ni kuchezea moto unaoweza kuliteketeza taifa

    Huo sasa ndiyo udini wenyewe!!! Acha watu waabudu iwapasavyo na Serikali ikusanye Kodi na kutenda HAKI.
  2. MUWHWELA

    Namtia moyo Pastor Tony Afya duni ya akili imewafanya wengi Wawe na chuki kwa waliofanikiwa!

    Una kiwango kidogo sana Cha kufikiri!! Pastor Tony amekosa hekima ,siyo yeye tu kijana aliyefanikiwa wapo wengi, pia siyo yeye tu mwenye mke wengi wanao wake zao. Ilipaswa atii Sheria ya kuhusiana na viumbe wengine kwa UPENDO siyo majivuno na ujivuni wenye 0%degree of understanding. Eti...
  3. MUWHWELA

    Age is not in our DNA

    Well said!!! Mahala tulipopigwa kabisa ni kuruhusu vitabu vya dini viandike hekaya za chanzo Cha Binadamu kwa misingi yenye dhana dhania na wala siyo uhalisia wake. Uzee na kifo ni halisi lakini KUMBUKUMBU na vibebeo vyake kwa JUMLA yake havizeeki wala kufa
  4. MUWHWELA

    Jibu ni mani, jawabu ni uhalisia. Uchaguzi ni wako

    Niwaslimu ndugu zangu na tuendelee kuuipa akili kazi. Kuna TOFAUTI kati ya jibu na jawabu ,jibu ni maoni ya MTU kwa KADRI ya taarifa alizonazo na JAWABU ni uhalisia wa mambo bila kujali hali au mapokeo ya MTU husika (it's a fact based) Sasa!!! Watu wengi tunatamani majawabu Moyoni lakini...
  5. MUWHWELA

    Nani yupo salama? Tupo kwenye nyakati zinazohitaji akili kubwa kuliko Moyo mkubwa(Moyo mzuri)

    Hilo ndiyo janga kuliko UKOLONI wenyewe.. imagine MTU anaona chatgbt na AI ni mkombozi???? Are we seriously!!!!!! Ubongo kazi yake kuchakata ila sisi tunataka suluhu bila kujua how
  6. MUWHWELA

    Nani yupo salama? Tupo kwenye nyakati zinazohitaji akili kubwa kuliko Moyo mkubwa(Moyo mzuri)

    Niwaslimu ndugu zangu hapa!! Kama Bado unayo pumzi basi vuta pumzi Kisha ipe akili kazi. Nani yupo salama??? Tupo kwenye nyakati zinazohitaji akili kubwa kuliko Moyo mkubwa(Moyo mzuri) 1-Nyuma ya Kila technology IPO dhana fiche ambayo inatumika kama Silaha ya kupata muda,nguvu, UWEPO na akili...
  7. MUWHWELA

    Kumwamini Mungu bila kumwamini Yesu Kristo/Yeshua Hamashiach, ni kupoteza muda,moto unakusubiri

    Wakati mwingine imagination inakupelekea ukatae facts na akili ziende likizo ya kudumu.... reasoning yako iko wapi kama Kila kitu rejea yako ni watu na maoni yao siyo maoni yako
  8. MUWHWELA

    UFAFANUZI juu ya Deni la Taifa na namna Rais Samia alivyotumia vizuri kila Senti aliyokopa katika Miradi ya Maendeleo

    Well said brother!!! Kama taifa tunahitaji kuwa na mjadala mpana wa wazi uliojaa upendo, '"clitical thinker's" katika taifa wamepungua sana. With respect!! Vyote vinavyofanywa na watawala ni WAJIBU wao kwa sababu wanachukua Kodi ya mwananchi, kuandika kuhusu wanayofanya haibebi DHANA ya...
  9. MUWHWELA

    Mungu kaumba vyote lakini kasoro kitu kimoja

    Mungu tunamtengeneza sisi kwa mitazamo yetu na kiwango chetu Cha mtetemo, who named God GOD? Hakuna kisicho Bora ,maana Kila kitu kilichopo hapa ulimwenguni kina mwingiliano wa mtetemo na kingine kwa uwiano unaofaa. HESHIMU Kila kitu and respect your abilities for the befit of others
  10. MUWHWELA

    Daktari anatibu nini kama hajajisoma yeye na tamaduni zake?

    Tupo wengi lazima tuvumiliane tu
  11. MUWHWELA

    Daktari anatibu nini kama hajajisoma yeye na tamaduni zake?

    I have a book called "lawama pango la umaskini wetu" wrote by me 2017... The only way we can win this game acha kulaumu SIASA na wanasiasa BE A CHANGE
  12. MUWHWELA

    Daktari anatibu nini kama hajajisoma yeye na tamaduni zake?

    Hujaelewa kumbe content.....sijabeza mahala popote technology Wala matabibu wetu.... Hoja ya msingi ni moja tu "Usalama wetu upo mikononi mwa watu" as matabibu wetu wapo they can do something. Habari za mashirikiano, huenda siyo muumini mzuri wa history...sisi waafrika hatushirikiani na wao...
Back
Top Bottom