Mimi nilikuwa naomba yafungwe yote iachwe roman Catholic church, na Lutheran church, afu na waislamu wasitumie haya maspika wapuuzi Hawa wanatupgia kelele sana.
Huyo uliyemuona ndo alikuwa mwenyezi mungu sasa , kiufupi ulitokewa na mungu laivu kama Musa ila kwasababu haukuwa na roho mtakatifu haukuweza kumtambua.
Walimwengu wanatuaminisha kuwa mwanaume anatakiwa awe na mwanamke mmoja lakini ulimwengu unahitaji mwanaume awe na mwanamke zaidi ya mmoja kwasababu mwanaume ni mbegu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.