Recent content by muweza wa yote

  1. M

    Kim Younhoon ndio mtu mwenye akili kubwa kuliko wote duniani, amesema Yesu ni Mungu

    kwa tafsri ya kawaida mpambavu atakuwa ni yule anaeamini mungu muweza wa yote aliumba wapumbavu pia.
  2. M

    Kim Younhoon ndio mtu mwenye akili kubwa kuliko wote duniani, amesema Yesu ni Mungu

    niwagumu kuwaelewesha kwasababu huwezi kuwathibitishia uwepo wa mungu muweza wa yote,
  3. M

    Hili tukio nikilikumbuka kwa mbali naanza kuamini uwepo wa Mungu

    Kabisa mkuu hapo kiunabii inamaanisha kuwa binadamu wote wametokea Africa ndomana amekuonesha uume ni mweusi (Africa)na mwili ni mweupe (mzungu)
  4. M

    Kabla hamjayafungia hayo makanisa tayari Mungu atakuwa amemalizana na nyie

    Mimi nilikuwa naomba yafungwe yote iachwe roman Catholic church, na Lutheran church, afu na waislamu wasitumie haya maspika wapuuzi Hawa wanatupgia kelele sana.
  5. M

    Hili tukio nikilikumbuka kwa mbali naanza kuamini uwepo wa Mungu

    Huyo uliyemuona ndo alikuwa mwenyezi mungu sasa , kiufupi ulitokewa na mungu laivu kama Musa ila kwasababu haukuwa na roho mtakatifu haukuweza kumtambua.
  6. M

    Ni wakati wa "system" kutumia mbinu zao zote kukwepa hii mitego miovu ya WEST (US) kuhusu nchi yetu.

    Nimeishia pale palipoandikwa Tanzania ni ngumu kuingilika🤣🤣🤣
  7. M

    Yafahaumu matunda hatari zaidi Duniani yanayoweza kusababisha kifo

    Yaani minimeingia huku jf niangalie mmeandika nini kuhusu kizmkazi,nakutana na huu ujinga bn
  8. M

    Mke wangu kamganda mme wa mtuu! Ushauri jamanii

    Kwani wewe umejuaje kama Kuna jamii forum? Mbona kama hauendani na huu mtandao?
  9. M

    Nahisi mke wangu anachepukaa! Jamani naombeni ushauri

    🤣🤣ngoja watakushauri wapuuzi wenzio
  10. M

    Ni sahihi Rais Traore kukutana na maraisi huko Russia akiwa na bastola kibindoni?

    Badala ya kusema kilichozungumzwa huko wewe unaleta habari za bastola mpuuuzi kweli, sasa kama polisi wenu wanazo atashindwa kuwa nayo traore?
  11. M

    Hivi mtu anakuwa katika hali gani ya akili hadi anakubali kuolewa mke wa tatu, wa nne nk?

    Walimwengu wanatuaminisha kuwa mwanaume anatakiwa awe na mwanamke mmoja lakini ulimwengu unahitaji mwanaume awe na mwanamke zaidi ya mmoja kwasababu mwanaume ni mbegu,
Back
Top Bottom