Recent content by Muuza shombo

  1. M

    Wafuasi CHADEMA wadai mabadiliko ya katiba ya chama kwanza

    Acheni upumbavu,,,we are more intelligent than you think,,,hao wote hakuna hata mmoja chadema,,nyinyi mmetumwa ,na kwa kudhania sisi ni makondoo mmevaa tshirt za katiba mpya movement,,,hii strategy yenu ni ya kitoto sana,,yaani ninyi ni makondoo tena yale broiler,,mkauguze kwanza vidonda na...
  2. M

    Wizara ya Afya Tanzania: Usiyoyajua kuhusu chanjo ya COVID-19

    Wizara ya afya is the mess ,,yaani badala wizara ichukulie suala la afya kwa uzito wake ,inalichukulia suala hili kisiasa,,embu angalia walivyo kurupuka kuzuia mikusanyiko ile ya katiba na siku zote walikua kimya,,embu angalia suala la simba na yanga huko kigoma,,mbona halizungumziwi hilo,au...
  3. M

    Alietudanganya kuwa CHADEMA ni nguvu ya umma yuko wapi?

    Acha ufala,,,,kwa hiyo tukienda kuvunja maduka kariakoo kama afrika kusini hiyo kwa akili yako ndio nguvu ya umma??yaani watu wa ccm bhana,duh wanadhani sisi watoto yaani hatuna akili kabisa,,,embu acha ujinga wewe
  4. M

    Nilichojifunza kupitia moto soko la Kariakoo

    Hii itakua suluhisho la kudumu,,very nice
  5. M

    Nilichojifunza kupitia moto soko la Kariakoo

    Moja kwa moja niende kwenye mada wana jf,..ni dhahiri wengi tumesikitishwa na janga ka moto lililotokea kariakoo na kuwaacha wafanyabiashara wengi na majonzi.Katika kila jambo linalotokea kuna pia la kujifunza. Jeshi la zimamoto lime jidhihirisha lilivyo la hovyo kuanzia vitendea kazi vyake...
  6. M

    TANZIA Mcheza filamu za ngono maarufu nchini Urusi, Kristina Lisina Afariki Dunia

    Duh,,kumbe alisoma banking and finance,,tuwaulize wale wa IFM,,,is there any positive correletion between being a banker and sex worker???
  7. M

    Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

    TO BE HONEST,,kipindi huyu mwamba akiwa madarakani ,,kuna baadhi ya mambo yaliyokua yanafanyika sikufurahishwa nayo kabisa,,, Sasa siku ilipotangazwa hatuponae tena ,kwa bahati mbaya nilirudi home late sana kama saa sita kasoro kwa hiyo sikujua ,badala yake mida ya kumi na mbili asubuhi ndo...
  8. M

    Polepole na Profesa Kabudi ogopeni sana teknolojia

    Hawa ndio mifano halisi ya wale wanasiasa malaya malaya alio wasema Mwl Nyerere
  9. M

    Waliokuwa mstari wa mbele kudai Katiba Mpya baada ya kupata vyeo leo wanaipinga

    Yule prof aliyeokotwa jalalani ni mnafiki wa kiwango cha SGR .....anafanya tuanze kutilia shaka ma proffesors wa tanzania ,,wasomi wafanye jambo especially kwenye hili la katiba,unless otherwise basi huyu palamagamba asha under value the honour of proffesors
  10. M

    Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu ni uthibitisho wa ubovu wa Katiba ya 1977

    We kondoo kweli,,,yaani mtu kazungumza concrete matters alaf we unasema cjui physics na basic math's ,unadhani huyo ni form two kama wewe,,,,inaelekea ndio unavunja ungo wewe,,,ideas zako ni za form two kabisa nyumbu is your head.
  11. M

    Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

    Yaani we unatakiwa uende tuition ya kupiga picha ,utake ustake,,haiwezekani lengo liwe kupiga picha nyumba lakini focus ipo kwenye migomba,,,sisi tunaona migomba ,,,hiyo ya nyumba imetokea kweny picha tu bahati mbaya
  12. M

    UVCCM, Mdude Nyagali aoneshwe kuwa taasisi ya Urais haitukanwi kirahisi

    Kusema kwamba mwenyekiti wa chama hadhalilishwi hovyo ilhali unayemtaja naye katoa mawazo yake na roho inakuuma ,,ni dhahiri unataka tumpe hadhi ya uungu,,,mwache kila mtu aseme anavyoamini,,,angalia nchi kama south africa watu walivyo na uhuru wa kumzungumzia rais wao...we ni mbuzi huna lolote...
  13. M

    UVCCM, Mdude Nyagali aoneshwe kuwa taasisi ya Urais haitukanwi kirahisi

    Kama kweli anaamini uhuru wa mahakama,,vile vile lazima aamini uhuru wa kujieleza,,,sio lazima wote tuwaze utakavyo wewe,,,kila mtu ana uhuru wa kuwaza na kujieleza kwa kadri Mungu alivyo mjalia utashi wake,,,by the way rais sio Mungu,,,hata wewe pengine jamii inayo kuzunguka inakuona hufai...
  14. M

    CHADEMA someni maoni mitandao ya kijamii kwenye masuala yanayowahusu

    Takwimu gani unaijua we mbuzi,,ety twitter ndo ya mwisho ,,do you actually know the impacts of social especially ya twitter inavyochukuliwa duniani ,,,,angalia trump anavyo haha marekani,,hicho kiburi unachodhani tunajazwa na mitandao,,we ndo umejazwa upumbafu na bibi yako,,we mean and believe...
Back
Top Bottom