fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Nguvu ya umma iliisha KWA Dr Slaa 2015,Sa hivi zipo Gia za angani.Pamoja na yote yanayotokea kwa mwenyekiti na chama kwa ujumla, lakini maisha mtaani yanaendelea kama kawa hakuna dalili ya kuyumbishwa.
Nguvu ya umma yuko nayo Zuma tu peke yake.
Mbowe eti kambadilikia SSH anaanza kumsifia JPM eti,Nyumbu nao wamefata mikia hawaoni wala kusikia.
Hayo ndo mambo ya gia za Angani