Recent content by Muumbuaji

  1. Muumbuaji

    Live: Leo ni zamu ya Mbao FC kuraruliwa na Simba SC

    Mavugo ana pepo la kukosa mabao!
  2. Muumbuaji

    Wizara ya Elimu: Mikopo tumetoa kwa vigezo. Wanafunzi wengine hutumia mikopo kununulia Tv na pombe

    Kumekuwapo taarifa ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kukosa au kupewa mikopo midogo ya ajabu nchini kote. Baadhi wamekubaliana kutosaini na wengine wamekata tamaa na kuanza kurudi nyumbani Wanafunzi mwaka wa kwanza waanza kurudi makwao Wanafunzi chuo kikuu cha Dar, wagoma kusaini fedha ya...
  3. Muumbuaji

    Je, Rais Magufuli anatafuta kiki kupitia mikopo ya wanafunzi?

    Kesho atakavyowashambulia bodi ya mikopo, utadhani kama vile hajui walichokifanya. Lengo ni kushangiliwa na kupigiwa makofi. HESLB jipangeni kutoa hesabu halisi mlizoficha baada ya mtukufu kuwashambulia, tunajua hii imepangwa!
  4. Muumbuaji

    Hali ni mbaya ward A na B za watoto walioko MOI (Muhimbili)

    Nazungumzia wodi ya watoto waliovunjika viungo, sizungumzii waendesha bodaboda kwani wao ni wakubwa na wala sijawahi kuingia kwenye ward yao
  5. Muumbuaji

    Hali ni mbaya ward A na B za watoto walioko MOI (Muhimbili)

    Na mimi wala sijaelekeza jumba bovu kwa madaktari pekee, bali kwa yeyote anayewajibika katika eneo linalomuhusu
  6. Muumbuaji

    Hali ni mbaya ward A na B za watoto walioko MOI (Muhimbili)

    Hata kumuangalia kwa macho pia itadisturb? Kulala wawili wawili je?
  7. Muumbuaji

    Hali ni mbaya ward A na B za watoto walioko MOI (Muhimbili)

    Bahati mbaya maslahi pekee ninayoweza ku'declare katika uzi huu ni uzalendo. Niliyeenda kumuona ni mtoto wa jirani yangu. Sina haja ya kufanya uchochezi, na ndio maana nikatoa wito kwa watu wenye sauti zaidi yangu waipaze huko juu, maana kwa hali ie, mtu anaenda kutibiwa lakini ajiandae pia...
  8. Muumbuaji

    Hali ni mbaya ward A na B za watoto walioko MOI (Muhimbili)

    NB: Nilitaka nichukue picha lakini nafsi ikanisuta. Pamoja na nia yangu njema ya kutolea taarifa, lakini nikajiuliza kuwa kwa upande mwingine, hawa wauguzaji wanaweza wasijisikie vizuri kuchukuliwa picha katika mazingira hayo. Lakini nasisitiza, kwa aliyepo Dar, awe kama vile anapita tu, aingie...
  9. Muumbuaji

    Dr. Mollel amshukia tena Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

    Hoja ni kwamba, kama unaweza ukaagiza dawa Kenya na ikafika nchini baada ya siku moja, kwanini uagize dawa hiyo hiyo India ikafika nchini baada ya mwezi mmoja? Kwanza unaongeza gharama za dawa, pili unai'expose unnecessarily katika mazingira yasiyo mazuri huko safarini, na tatu unaipunguzia muda...
  10. Muumbuaji

    Hali ni mbaya ward A na B za watoto walioko MOI (Muhimbili)

    Asubuhi ya leo nimetoka kumuona mgonjwa katika wodi ya watoto waliovunjika mifupa iliyopo Muhimbili chini ya taasisi ya MOI. Nilichokikuta kinasikitisha sana, na nilichosimuliwa na wazazi/walezi wanaowatazama watoto hao kinasikitisha zaidi Nilichoona: Vitanda vyote 23 katika wodi A vina...
  11. Muumbuaji

    Dr. Mollel amshukia tena Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

    Umetumia neno 'kama', maana yake hauna uhakika. Kwa hiyo ulitakiwa uulize option II yake pia; : Kama wakenya wanatengeneza wenyewe yaani hawaagizi India ... Tununue Kenya
  12. Muumbuaji

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    He he hee! Unataka mawaziri watatu na RC mmoja waanze kuchanganyikiwa na kutengua kauli zao wewe! Maana kwa jinsi ishu ilivyogombaniwa na mawaziri ...
  13. Muumbuaji

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    Si kuwaingilia, ila ni under utilisation of power. Sasa kama kukata utepe kufungua kiwanda cha Bakhresa au kupiga simu Clouds FM wakati vikao vya East Africa Community unawakilishwa na balozi hapa Nairobi tu, unadhani ni kuitendea haki the given power?
  14. Muumbuaji

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    Labda nikuulize kwa kutoa mfano, pengine utapata picha ya mamlaka. Hivi gari lingemgonga mwanafunzi huyo huyo kwenye zebra crossing hadi kufa, hatua za kisheria dhidi ya dereva zingesubiri waziri wa mambo ya ndani aagize kuchukuliwa?
Back
Top Bottom