Naomba mnisaidie nijue jinsi ya kupost cv yangu mana nimejaribu nimeshindwa.maelekezo wana sema unapost kwenye link bt kila nikijaribu ku sinup kwenye link(email adress) hainip option ya kuweka cv.
mungu n mwema wakati wote, usikate tamaa mpendwa kadri shida zinapokusonga ndipo mafanikio yanakaribia,cha kufanya endelea kutafuta kazi au uwe mbunifu katika biashara na mungu atafungua njia
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.