Recent content by Muttaj

  1. M

    Habari gani uliiona kubwa kwa mwaka 2013? (Kimataifa)

    Kuanguka kwa jengo la ghorofa nane la kiwanda cha nguo katika jiji la Bangladesh. Hii ilikuwa ni habari kubwa kwani tukio hili lilisababisha vifo vya zaidi ya watu 1100 na majeruhi wengi walishindwa kurejea kazini.
  2. M

    Habari gani uliiona kubwa kwa mwaka 2013? (Kimataifa)

    Rais Barack Obama wa Marekani kupeana mkono na Rais wa Cuba, Raul Castro nchini Afrika Kusini. Hii ilikuwa ni habari kubwa kwani viongozi hawa au nchi hizi zimekuwa kwenye mgogoro wa kidiplomasia kwa zaidi ya miaka 50.
  3. M

    Takwimu: Zijue nchi masikini Duniani

    Kaulimbiu ya miaka 50 ya uhuru ni "TUMETHUBUTU TUMEWEZA TUNASONGA MBELE." Kama CCM wamethubutu wametufikisha hapa, wakisonga mbele si watatuuza kama kuku ili baadae nchi isiwepo kabisa? Hima 2015 tuipumzishe CCM kwa amani kabla hatujapotezwa kabisa katika ramani ya Dunia.
  4. M

    Askari aliyemfyatulia risasi Sheikh Ponda akamatwa na Polisi

    Ni askari wa jeshi gani? Maana serikali imeshasema haihusiki. Tusubiri tuone mashtaka yatakuwaje. Hawachelewi kutuambia alikuwa ni mlinzi wa msikiti, hivyo Ponda na watu wake walitaka kujiua!
  5. M

    Tigo, Vodacom & Airtel washitakiwe

    Makampuni haya yameshindwa kubuni mbinu za kujiendesha. Badala yake yameamua kujikita katika wizi kwa wateja wake. Hata hizo promotions zao ni wizi mtupu maana zinalenga zaidi kuwakamua wateja badala ya kuwapa nafuu. Naunga mkono hoja yashtakiwe yote.
  6. M

    Chakula cha Obama

    Mi pia mgeni. Nilikuwa naangalia tu ili nipate uzoefu.
Back
Top Bottom