Kitu cha kujifunza hapo ni kuwa hutakiwi kumtega mwanamke...ukimpa mitihani 100,95 kati ya hiyo atakupa matokeo tofauti na ulivyotarajia.Maanadiko yamesema ishini nao kwa akili
Duh kwa jinsi ulivyotiririka inaonekana kabisa ni wewe mwenyewe but haidhuru...aamue tu liwalo na liwe na liwe likubuma nyumbani kwake aombe radhi kwa mumewe kwani huo utumwa utaishia kuambukizwa magonjwa kwa kuogopa fedheha...
Ukiona huwezi kusema kile ambacho moyo wako unataka useme ujue hujafikia wakati wa kufanya hivyo.So the best way ni kusubiri wakati muafaka hayo maneno hata hautayatafuta yatakuja yenyewe tuu
Nakufollow wapi na wapi wewe mtu mzima mwenye akili isiyojaa hata kijiko cha chai!!Kwenye hii thread umekuja mwenyewe na mikaptura yako.Ati unagombewa?Wewe huyo ugombewe kwa lipi hata ugombewe?Asigombewe Asanterabi au Mr.Prolemsolved waliokuja na vitu vipya vya kurahisisha utendaji kazi ili...
Mambo ya maana ni kule kuandika senseless IG posts na wabebezzz na kudhalilisha wanawake wasio na akili kama wewe kuwaita mitindi?Ungekuwa na akili hata za mtoto ungeweza ku-handle criticism kwa kujibu maswali rahisi unayoulizwa.Leo umegeuka advocate wa mtu mwenye uwezo uliovia kama wako?No...
Watishie mburula wenzako ndo wanatiwa hofu na huu upu.uzi wako coz unadhidi kuwathibitishia hata wale waliokuwa wanatilia shaka kama wewe ni kasorobo kuwa u kasorobo halisi.
Kwa akili mbuzi ulizonazo na umri wa kustaafu uliofikia unaona kama haya ni mafanikio ya kufikia hata kujipigia chapuo upigiwe makofi!!!??Wajukuu zako soon watakuja kuona utu.mbo unaoandikwa na babu yao mtandaoni ili nao wakukane kama wanavofanya nduguzo.
Ningekuona wa maana sana kama angekuwa anawachukua na kwenda kuwafuga ili wazaliane halafu achukue watoto ila kwa dili hizi za kuwaua ananizidishia chuki dhidi ya hizi sare za kijani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.