Recent content by Mutant Leo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Muswada wa bunge la Marekani dhidi ya Tanzania: Vita imetangazwa rasmi

    Haki za binadamu unaita propaganda??? Kweli umefeli....ila naelewa vibaraka wa china hampendi kusikia haki na utawala bora katika masikio yenu viva usa
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto akizaliwa nyumbani kwangu ni wa kwangu, mama yake ataondoka ila mtoto atamwacha halafu nimjue huyo kidume atakayekuja kwangu kudai! NAMTAIFISHA

    Huyu so ndo aliimba nunua shuka tuje chafua!? Ngoja aisome namba
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Kushindwa Kuwa Na Vitega Uchumi Kwa Miaka 34 Na Kuishia Kuombaomba Tu Michango Inayoishia Kutafunwa hovyo

    Nadhani unafahamu figisu lukuki zinazofanywaa na baadhi ya watu dhidi ya hiki chama....so tuache tutakua
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kama Tuhuma hizi kuhusu Pesa alizopewa Yanga Zina ukweli, Gerson Msigwa Jiuzulu Mara Moja ni Aibu

    Kama ni kweli jamaa awajibishwe na takukuru na vyombo vingine husika
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Mtu kaumbika na sisi tukimuona kuna ubaya gani!??
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Inakuwaje unaomba talaka halafu baada ya kuipata unaanza kuishi maisha yasiyo na mipaka?

    Mpaka anaomba hayo yaliyokuwa anaishi yalikuwa ya hovyo tayari...wanaume wa kiafrika mfumo dume umetuathiri sana ndomana ndoa zinavunjika
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania Haitaji Shule za Bweni za Jinsia Moja

    Katika dunia ya sasa, Tanzania inakua na changamoto nyingi za kijamii na kielimu. Mojawapo ya changamoto hizo ni mfumo wa shule za bweni za jinsia moja (hasa zile zisizo za kidini). Ingawa mfumo huu ulikuwa na nafasi yake katika historia, leo hii unazalisha matatizo makubwa kuliko faida. 1...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Kikwete hawezi kuacha kulitumikia taifa kama Rais Mstaafu eti kwa kuogopa vitisho vya Maaskofu

    Wengi wanaomkosoa Kikwete ni chuki binafisi dhidi yake...hasa kutokana na falsafa yake ya uongozi aliyotumia akiwa madarakani na asili yake(mtu wa pwani muislamu)...ukiacha hayo hawana point ya maana madai ya ufisadi hawana ushahidi wowote...so watasubiri sana
Back
Top Bottom