Recent content by mustaphahamisi

  1. M

    Waliofanya Application Afya; Ajira zinatoka lini?

    Lugha hyo inatokana na hasira watusababishiazo ujinga sana wa hii nchi aisee
  2. M

    Waliofanya Application Afya; Ajira zinatoka lini?

    Tatizo private hawataki kuajiri wanasema serikali ikitoa tutawakimbia inamaana serikali imebeba hatma ya maisha ya watu halafu wamekalisha tu WANAHARIBU MAISHA YA WATU TU.. na kwa system walizoweka watu hawatoweza kwenda kusoma mpka wawe kwenye system upuuzi gani huu wa hii nchi
  3. M

    Waliofanya Application Afya; Ajira zinatoka lini?

    Serikali imekuwa na kimya kingi au ilikuwa geresha tu kuhusu ajira.... Kwanini serikali hii inacheza na vichwa vya watanzania, hivi ninyi watanzania hamna uchungu ninyi kwanini tusiandamane tukamuonesha huyu mse** kuwa sisi ndo tuliomuajiri kwanini atuzoee kiasi hiki... Pumbafu kabisa
  4. M

    Aisee Prophet Shepherd Bushiri, hii sifa sasa...

    Rolly Royce [emoji111][emoji111][emoji111] Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  5. M

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Ndugu uko na uso wenye mafuta using'ang'anie lotion tymia sabuni pia nzuri mno unaweza tumia lotion kumbe sabuni ndo inakuangusha hailandani na lotion unayoitumia so anze kwa hii tumia sabuni ya DOVE hukausha kabisa ngozi na unatakata ndugu yangu...!! Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums...
  6. M

    Kairuki: Waliotumia vyeti feki na vyeti vya wengine kuchukuliwa hatua za kisheria na kutolipwa

    Huyu mama mzushi sana ajira hewa kila siku anatangaza afya ilikuwa atoe wiki hii mpka sasa kakaa kimya.. Hii serikali inamaajabu yake Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  7. M

    KUNA HABARI ZINAENEA KUHUSU MAOMBI YA KAZI KWA DMO..!!?

    Kuna habari kitaa huku zinasemekana zimetoka toka tareh 15 zinahusu kujitolea kufanya kazi wizara ya afya mwisho kutuma maombi ni tarehe 30 mwezi Wa 05 huu.! Maombi yote yanafanywa kwa DMO..!! KUNA MWENYE UKWELI WA HABARI HIZI MAANA WIZARA HAWAELEWEKI JAMANI..!!
  8. M

    Ajira zinavyopigea dana dana ya serikali ya awamu hii ya tano

    Mie ni mtu wa afya na ndo nachozungumza kila hospital ukienda majibu hayo hayo mpk serikali iajiri na wao wataajiri Option ni kuisema tu SERIKALI kama itasikia isikie wana bore sana
  9. M

    Ajira zinavyopigea dana dana ya serikali ya awamu hii ya tano

    private sectors hawatoi ajira sasa mpaka serikali itakapo ajiri nimetembea taasisi zaidi ya 15 hilo ndo jibu lao "serikali mpaka iajiri" Hivi kuna ugumu gani kututolea ajira mbona mnatunyanyasa kwenye nchi yetu huru. private sector hawatoi ajira mpka muajiri ninyi wanaogopa mkitoa ajira...
  10. M

    Ajira za serikali kumponza Waziri Kairuki

    Huyu jamaa Amalize tyuu muda wake 2020 cjui atatudanganya nn tena
  11. M

    KILIO CHA AJIRA: Ukimya wa Rais Magufuli waleta hofu

    [emoji94]NAOMBA USHAURI HUU UMFIKIE MHESHIMIWA MTUKUFU RAISI WA TANZANIA #DR_JOHN_POMBE_JOSEPH_MAGUFULI...[emoji116][emoji116] [emoji666]Hawa vijana waliohitimu kuanzia mwaka 2015 hadi sasa ambao wako mtaani hawajapata ajira na pia wameshindwa kujiajiri kwa kukosa mitaji wengi wao ni watoto wa...
  12. M

    KILIO CHA AJIRA: Ukimya wa Rais Magufuli waleta hofu

    Tunaomba utupatie na mvua kabla ya kutoa wazo hili la kupuyangika
  13. M

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Tumepiga hatua kumi na tano nyuma
  14. M

    Dk. Mwele Ntuli Malecela ametoa somo kubwa kwenye vyombo vya usalama

    Afichaye maradhi kifo humuumbua ..,yetu majicho
  15. M

    Navy Kenzo waachia wimbo mpya - Feel good

    Nani kasema ili usikike nje uimbe kiingereza mbna mziki wa mondi unapenya kuliko wa hao navy na anaimba kiswahili sometimes we have to treasure what is ours not their you feel me
Back
Top Bottom