Recent content by Mussolini

  1. M

    CCM yajikanyaga kuhusu jimbo la Arusha Mjini!!

    Huyo kapotea njia hajui hata anapokwenda!!! kawadanganya bongo anafikiri hawana habari za Arusha, watu wegine utafikiri wamekunywa maji ya bendera!! Wamuogope Mungu jamani!!
  2. M

    Sasa ni Professor Wilbrod Slaa

    Dah!! lakini yanatoka wapi hayo, Je demu uliyekuanaye mara ya mwisho juz kati hivi alikuwa wako kweli wewe!!! Kijana kamkubali wacha ampe sifa zake Dr Slaa!
  3. M

    Tundu Lisu ashinda kesi safiiiii sanaa M4C for life

    Arusha kurudi ni pagumu maana raia wa arusha wanasema hata jiwe likiwekwa likavalisha Bendera ya chadema watalipa kura zote, watu wameshachoshwa nao, hata vibaraka wanaona aibu!!
Back
Top Bottom