Huyo kapotea njia hajui hata anapokwenda!!! kawadanganya bongo anafikiri hawana habari za Arusha, watu wegine utafikiri wamekunywa maji ya bendera!! Wamuogope Mungu jamani!!
Dah!! lakini yanatoka wapi hayo, Je demu uliyekuanaye mara ya mwisho juz kati hivi alikuwa wako kweli wewe!!! Kijana kamkubali wacha ampe sifa zake Dr Slaa!
Arusha kurudi ni pagumu maana raia wa arusha wanasema hata jiwe likiwekwa likavalisha Bendera ya chadema watalipa kura zote, watu wameshachoshwa nao, hata vibaraka wanaona aibu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.