jamani wana jf ,nisaidieni mwaka jana tulivunjiwa vibanda vyetu huku maeneo ya tegeta wazo (nakalekwa) hakukuwa na taarifa yeyote juu ya uvunjwaji huo .walikuja watu wa msalaba mwekundu kutusaidia ,mwaka huu wanatuambia tuendeleze vile viwanja ,jamani nashindwa kuelewa hivi hii sheria ya ardhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.