kweli unaweza ukakuta kuna ma ex wengi tu alikuwa hapatani nao,na mtu uliyemkosea huwaga haui mhusika ,yaan anaua wengine ili tu ikuume 😢but R.I.P kwa familia.
wel
siyo kwny gari tu hata wale wanaoingizaga wanawake kwny biashara analala nae dukani,,huwa hawafui dafuu,,all in all achen ubahili ni heri umpeleke gesti kuliko dukani😂
aisee uzinzi,na huruma nyingi kw watu zilinitudisha nyuma,ilikuwa nikipata pesa tu mtu yeyote nikikutana nae analia lia haana hata buku 5 nampatia,,kuhusu uzinzi unakuta mdada anaishi mkoa wa mbali kbs ila unajitoa kumtumia nauli na akija anakaa hata wiki 2 hizo zote unamhudumia aisee,mpk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.