Recent content by Mussahboy17

  1. Mussahboy17

    Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake

    kweli unaweza ukakuta kuna ma ex wengi tu alikuwa hapatani nao,na mtu uliyemkosea huwaga haui mhusika ,yaan anaua wengine ili tu ikuume 😢but R.I.P kwa familia. wel
  2. Mussahboy17

    Ndugu Mwanaume

    😂😂😂😂🙌🙌🙌
  3. Mussahboy17

    Kamwe usijaribu kufanya ngono kwenye gari, lisipoharibika litapata ajali mbaya

    siyo kwny gari tu hata wale wanaoingizaga wanawake kwny biashara analala nae dukani,,huwa hawafui dafuu,,all in all achen ubahili ni heri umpeleke gesti kuliko dukani😂
  4. Mussahboy17

    Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

    aisee uzinzi,na huruma nyingi kw watu zilinitudisha nyuma,ilikuwa nikipata pesa tu mtu yeyote nikikutana nae analia lia haana hata buku 5 nampatia,,kuhusu uzinzi unakuta mdada anaishi mkoa wa mbali kbs ila unajitoa kumtumia nauli na akija anakaa hata wiki 2 hizo zote unamhudumia aisee,mpk...
  5. Mussahboy17

    Ukitaka kuwa masikini endekeza michepuko

    shida huanzia pale unapokosea kuoa tu aisee😢😢😢😢
  6. Mussahboy17

    Maisha ya kijijini ni mazuri sana kuliko maisha ya mjini

    Mkuu maeneo ya huko viwanja wanauzaje kwenye senta ya mkusanyiko wa watu
  7. Mussahboy17

    Rungwe -Tukuyu pazuri kuishi 100%

    Vitalis ushamahamia tyar mbeyaa
Back
Top Bottom