mimi ni naitwa mussa wa arusha. narudia tena kenye janvi hili natafuta mchumba ambaye atayekuwa mke wangu. akiwa mikoa hii dar es saalam, arusha, kilimanjaro, singida, manyara na tanga itakuwavizu kwan itakuwa rahisi kuonana
sifa zangu ni: nina miaka29, ni mwajiriwa serikalini, muislam...