Hivi karibuni tulisikia kua hao jamaa walitembelea ikulu na kuongea na magu je inawezekana hilo limechangia kupungua kasi ya kutumbua majipu? maana tulitarajia majipu kama tanesco,tcra na haya makampuni ya simu yengefuata kwa kutumbuliwa haraka naona kasi imepungua sana tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.