Boss hapo hakuna cha wizi, risk wala terrorism finance. Ni kwamba watapata faida kutoa more than once time, mkumbuke hata bank zinaibiwa na hata ukitolea ndani then kwenye safari zako ndo hauwezi kuibiwa?. Ifikie mahali waache janja janja tu coz the people of now days are educated.
Hekima gani, me mbona sikuelewi boss!!? [emoji1], nioneshe neno nililoweka humu lisilo na hekima, labda mimi naona tofauti na wewe pengine [emoji2375].
[emoji2] Hilo umesema wewe, wapo wanaojua kwanini nimefanya ivyo. Karibu kutukana zaidi ukihitaji, unakaribishwa (mzee wa michepuko)
Na sijamvizia mtu, narudia sijamvizia mtu.
Wewe tena unashauri kiazi mbatata? Sidhani kama nina cha kujadiliana na wewe. Point ulizoandika nimezisoma na nakuhakikishia nimezielewa. Na unaruhusiwa kutukana zaidi ukitaka, unakaribishwa mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.