Recent content by Mussa Nzugilwa

  1. Mussa Nzugilwa

    Kwanini mabinti kutoka familia tajiri au zenye uwezo kifedha hawafanyi challenge za kutingisha makalio mitandaoni?

    Day one hawaanzi kutikisa mataqo ili wapate hela, wanaanzaga taratibu, anaanza kupata followers ananogewa, anaanza kupata DM za kuombwa mzigo, akitoa anapata pesa ananogewa zaidi. Anajikuta amejirasmisha kabisa, anajiuza. Kwahio ni malezi kwanza, ndio inafuata ishu ya umaskini
  2. Mussa Nzugilwa

    Mchumba hasomeshwi? Simulizi ya kutisha na kuumiza

    Sema jamaa alifuata process, kwa mama kwa dada, nadhani majibu yao yalimuumiza zaidi
  3. Mussa Nzugilwa

    Kununua gari kwa mbongo ni mtihani, wauzaji wengi wanaficha matatizo yaliyowashinda, mnunuzi anaachiwa apambane nalo.

    Kwenye bishara kuba jambo moja tu. Bei iendane na bidhaa (thamani). Ukiuziwa gari kwa 10M ila thamani yake ni 7M hapo umepigwa. Ila ukiuziwa gari 2M maana yake changamoto zake ndio zinaifanya iwe ya bei hio, hapo pia ni sawa kabisa, nenda kapambane nazo.
  4. Mussa Nzugilwa

    Sehemu pekee naweza ruhusu mwanamke akawa juu yangu ni wakati wa sex tuu

    Kila kitu duniani ni men vs men. Women are no guilt.
  5. Mussa Nzugilwa

    Natafuta Kazi kibarua nipo Songea vijijini

    Hio sifa ya kukata mtaji iondoe mkuu, itakuchelewesha
  6. Mussa Nzugilwa

    Ridhiwani: Ni marufuku kwa watumishi wote wa umma kutumia mitandao isiyo rasmi kutuma na kupokea nyaraka za serikali

    Kuna watu niwakali kwenye comment utafikiri kweli watakaidi agizo
  7. Mussa Nzugilwa

    Serikali ipambane na utekaji na uuaji nchini, Vijana wengi wazalendo wanajiunga na Vikundi vya Ukombozi

    Hao vijana ni akina nani mkuu? Kuna yeyote unaemjua amejiunga?
  8. Mussa Nzugilwa

    Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    Mkuu fuata moyo wako unavyoona. Tumekuja kuishi na kuishia. Siku ukijua kua ukioa unaweza kuacha, haya mambo za mahusiano ni nyepesi sana. Ila ukiwa na mtazamo kwamba ukioa ni Kama umetia gundi, utateseka mno Sema mwanamke akiuza mechi ni marufukua kumrudia, mkuu utakua fala kinoma yani
  9. Mussa Nzugilwa

    Huu ni mjadala maalumu kuhusu uwepo wa Mungu na kutokuwepo kwake kwa ushahidi wa vitabu vitakatifu, history na science

    Mawazo yangu finyu nayaweka hapa. Hakuna yeyote anaejua chochote kuhusu asili ya vitu visivyoundwa na binadamu. Zoootee tunazozisoma ni nadharia za watu tu. Zilikuja ili kujibu swali gumu la asili ya ulimwengu na vilivyomo. Baada ya wanjanja wachache kung’amua kuwa baadhi ya majibu ya swali...
  10. Mussa Nzugilwa

    Kwanini wanawake wa Sasa wanapenda utawala 50/50 wakati huo wanataka kuhudumiwa?

    Naandika tena, dunia ni mapambano ya mwanaume dhidi ya wanaume wengine. Women are not guilt. Kazi kwenu kuelewa.
  11. Mussa Nzugilwa

    Zahir Zorro: Nizikwe na fire extinguisher saba za kuzima moto kwani najua niendako

    Waliosema maisha ni fumbo waliona mbali sana. Wakuu maisha sio ya kuyanenea lolote lile. Ukiona wewe unaishi poa, unatenda yaliyo mema, wala usipige kelele endelea kimya kimya, hujui kesho. Maisha yanauwezo wa kugeuza upande muda wowote. Kitu ninachomuomba Mungu kila siku, anipe busara, nijue...
  12. Mussa Nzugilwa

    Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Mtu yeyote akikuahidi chochote kizuri baada ya wewe kupoteza maisha, mf. Utakufa shujaa, utakumbukwa, familia yako itaishi vizuri, nk, amka ukimbie mbio kali sana.
  13. Mussa Nzugilwa

    Dawa ya kienyeji kali ya kurudisha mke ndoani

    Inaonekana bado hujaumia vizuri.
  14. Mussa Nzugilwa

    Uchawi kwenye biashara ya Catering

    Mkuu acha kutisha watu. Kila biashara ni ngumu na ina changamoto. Hakuna biashara ya kuingia kichwakichwa, na kila biashara kuna watu wamefanikiwa. Ukiichagua jua umechagua kupambana na changamoto zake. Ukishindwa, inakufa. Ova
Back
Top Bottom