Day one hawaanzi kutikisa mataqo ili wapate hela, wanaanzaga taratibu, anaanza kupata followers ananogewa, anaanza kupata DM za kuombwa mzigo, akitoa anapata pesa ananogewa zaidi. Anajikuta amejirasmisha kabisa, anajiuza.
Kwahio ni malezi kwanza, ndio inafuata ishu ya umaskini
Kwenye bishara kuba jambo moja tu. Bei iendane na bidhaa (thamani). Ukiuziwa gari kwa 10M ila thamani yake ni 7M hapo umepigwa. Ila ukiuziwa gari 2M maana yake changamoto zake ndio zinaifanya iwe ya bei hio, hapo pia ni sawa kabisa, nenda kapambane nazo.
Mkuu fuata moyo wako unavyoona. Tumekuja kuishi na kuishia. Siku ukijua kua ukioa unaweza kuacha, haya mambo za mahusiano ni nyepesi sana. Ila ukiwa na mtazamo kwamba ukioa ni Kama umetia gundi, utateseka mno
Sema mwanamke akiuza mechi ni marufukua kumrudia, mkuu utakua fala kinoma yani
Mawazo yangu finyu nayaweka hapa.
Hakuna yeyote anaejua chochote kuhusu asili ya vitu visivyoundwa na binadamu. Zoootee tunazozisoma ni nadharia za watu tu. Zilikuja ili kujibu swali gumu la asili ya ulimwengu na vilivyomo.
Baada ya wanjanja wachache kung’amua kuwa baadhi ya majibu ya swali...
Waliosema maisha ni fumbo waliona mbali sana. Wakuu maisha sio ya kuyanenea lolote lile. Ukiona wewe unaishi poa, unatenda yaliyo mema, wala usipige kelele endelea kimya kimya, hujui kesho. Maisha yanauwezo wa kugeuza upande muda wowote. Kitu ninachomuomba Mungu kila siku, anipe busara, nijue...
Mtu yeyote akikuahidi chochote kizuri baada ya wewe kupoteza maisha, mf. Utakufa shujaa, utakumbukwa, familia yako itaishi vizuri, nk, amka ukimbie mbio kali sana.
Mkuu acha kutisha watu. Kila biashara ni ngumu na ina changamoto. Hakuna biashara ya kuingia kichwakichwa, na kila biashara kuna watu wamefanikiwa. Ukiichagua jua umechagua kupambana na changamoto zake. Ukishindwa, inakufa. Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.