Ajali hii imechukua maisha ya jamaa yetu mmoja anayeitwa Amin Mero.
Tunamzika leo huku kwao Mkoa wa kilimanjaro, wilaya ya Moshi vijijini, kijijini MDAWI.
Ni yeye tu aliyefariki kwenye hii ajali.
Lala Salama Mero.
YEHODAYA said: ↑
Yaani mwakyembe mkewe angekuwa wa kaskazini bendera za chadema zingepepea nusu mlingoti na wabunge wote wa chadema wangechangishwa.Sugu mnyakyusa kaenda kuwaogopa wanyakyusa kuwa waampiga chini mbeya kwani wanyakyusa misiba ni kitu kikubwa.Kaamua.kujilipua bila kujali mwenye...
Hawa hawajahuzunishwa hata chembe na kifo cha LINAH.
Ndio maana wanasimama msibani na kuanza kuongea porojo za kisiasa.
Majaliwa asubiri siku akifiwa na mtu wake wa karibu aone kama atapata nguvu za kuongea ujinga kama huu.
Msibani ni mahala pa kufarijiana, kuonyeshana upendo, kujitegemeza...
W. J. Malecela Hongera kwa kununuliwa NOAH na BASHITE.
Pia nasikia anakujengea Studio ya online TV ili urushe kazi zake, baada ya kususiwa na media zote Tanzania.
Halafu ile SWAHILI TV iliishia wapi tena?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.