Wakati mwingine matatizo kama ya umeme(energy consumption)...ni dalili tosha kuwa tunarudi tulikotoka...wala hatujitaji data za world bank kujua kama uchumi unakua au lah...
Habari ndugu
Nakuja hapa naomba mnisaidie
Nilikua na Yahoo adress ambayo imeshikilia vitu vingi lakini kikubwa kikiwa ni attached credentials zangu ambazo ni vyeti vyangu na docs nyingine za muhimu
Original hard copy ya vitu vyote hivyo nimepoteza
Nimejaribu kwenda kwenye help desk za yahoo...
UJINGA WA MAJI NA NYAYO
Kitendawili! Tega! Ni bara gani ambapo watu wake wananunua maji ya upako eti wapate mali badala ya kufanya kazi? Afrika.
Kitendawili! Tega! Ni bara gani ambapo watu wake wanarudi nyumbani na mizigo ya udongo wakati watu wa mabara mengine wanachukua rasilimali zao...
We dogo wewe ni Mpumbavu...huna akili tatizo ni kuwa hujui kama huna akili
Learn to be humble...tafuta muda wa kujitafakari
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapo ndo wengi mmekamatwa...eti "Wachawi" na "Majini"
Unajiita mkristo halafu unataja "Majini"!?...unayajua majini wewe!?...unaifahamu Surat inayotaja majini!?...Unalijua fundisho la kikristo lolote linalo eleza majini?
Mmejichongea vinyago vya kujitisha wenyewe...mfano Laana za...
Sasa basi... Rwanda ina uwezo wa kuichakaza na kuisambaratisha Congo kijeshi kwa njia zote, iwe kwa angani, majini au ardhini tena kwa muda mfupi sana.
JF TEENAGERS ingeanzishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka wanataja mikopo kwenye mambo ambayo sio rahisi mwananchi kuyaelewa wala kuhoji au kuona umuhimu wake wa moja kwa moja ili UPIGWAJI uwe rahisi
Nani atahoji au anajua expenditure kwenye hiyo miundo mbinu?
Hizo pesa zingeenda kwenye changamoto zinazowagusa wananchi moja kwa moja kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.