Recent content by musicarlito

  1. musicarlito

    Matatizo ya mgao wa umeme dalili tosha tunarudi tuliko kuwa zamani

    Wakati mwingine matatizo kama ya umeme(energy consumption)...ni dalili tosha kuwa tunarudi tulikotoka...wala hatujitaji data za world bank kujua kama uchumi unakua au lah...
  2. musicarlito

    Naomba kuwajua Hawa walioimba Gospel track hizi

    Naomba kujua Hawa walioimba hizi nyimbo ni Nani...najua tuu melody zao nime attach nikiwajua ntashukuru
  3. musicarlito

    Msaada kurudisha Yahoo mail adress tafadhali

    Habari ndugu Nakuja hapa naomba mnisaidie Nilikua na Yahoo adress ambayo imeshikilia vitu vingi lakini kikubwa kikiwa ni attached credentials zangu ambazo ni vyeti vyangu na docs nyingine za muhimu Original hard copy ya vitu vyote hivyo nimepoteza Nimejaribu kwenda kwenye help desk za yahoo...
  4. musicarlito

    Laana au?

    UJINGA WA MAJI NA NYAYO Kitendawili! Tega! Ni bara gani ambapo watu wake wananunua maji ya upako eti wapate mali badala ya kufanya kazi? Afrika. Kitendawili! Tega! Ni bara gani ambapo watu wake wanarudi nyumbani na mizigo ya udongo wakati watu wa mabara mengine wanachukua rasilimali zao...
  5. musicarlito

    KWELI Mashine za Kunyolea nywele zinaweza kusambaza VVU

    Na wanaofanyiwa scrub je!? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. musicarlito

    Kumbe Tupac alijua kuhusu tusi la "mamayo"

    ulimbukeni ndugu yangu ni kitu kibaya sana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. musicarlito

    Je, Muokoaji Majaliwa asingekuwa Shabiki wa Yanga SC akina GSM na Klabu ya Yanga ingempa hizi Fedha nyingi nyingi?

    We dogo wewe ni Mpumbavu...huna akili tatizo ni kuwa hujui kama huna akili Learn to be humble...tafuta muda wa kujitafakari Sent using Jamii Forums mobile app
  8. musicarlito

    Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

    Akili hii imeshaharibika...uko wapi Wokovu ambao Wakristo sasa tunapaswa kutembea nao kifia mbele!? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. musicarlito

    Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

    We unadhani ni Muislam[emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. musicarlito

    Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

    Na hapo ndo wengi mmekamatwa...eti "Wachawi" na "Majini" Unajiita mkristo halafu unataja "Majini"!?...unayajua majini wewe!?...unaifahamu Surat inayotaja majini!?...Unalijua fundisho la kikristo lolote linalo eleza majini? Mmejichongea vinyago vya kujitisha wenyewe...mfano Laana za...
  11. musicarlito

    Rais Tshisekedi siku zake zinahesabika

    Sasa basi... Rwanda ina uwezo wa kuichakaza na kuisambaratisha Congo kijeshi kwa njia zote, iwe kwa angani, majini au ardhini tena kwa muda mfupi sana. JF TEENAGERS ingeanzishwa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. musicarlito

    Aisha Said aka Dj Sinyorita, kumbe ana shanga kilo kiunoni

    hahahah Mpanda tena "[emoji23]makanyagio"
  13. musicarlito

    Tanzania yakopa bilioni 310 EXIM kutanua mfumo wa NIDA

    Kaka wanataja mikopo kwenye mambo ambayo sio rahisi mwananchi kuyaelewa wala kuhoji au kuona umuhimu wake wa moja kwa moja ili UPIGWAJI uwe rahisi Nani atahoji au anajua expenditure kwenye hiyo miundo mbinu? Hizo pesa zingeenda kwenye changamoto zinazowagusa wananchi moja kwa moja kama...
  14. musicarlito

    Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

    Utoto bado mwingi sana ...una ratiba ya kwenda kanisani hapo hapo una ratiba ya kugonga demu No wonder huwezi jua umuhimu wa JNNK
  15. musicarlito

    Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

    Kama hawataelewa na huu ujumbe hata angekuja MUSA na HAROUN hawataelewa
Back
Top Bottom