Achana nae kabisa huyo... msahau kabisa, na siku ikibumbuluka, we haikuhusu, kwenye vyeti lipo jina lake, na aliyekwenda kutengenezesha ni yeye wala siyo wewe, wewe ulitoa pesa tu, na pesa zina matumizi mengi, hiyo kesi ya vyeti haikuhusu kama hautajitia kimbele mbele, kumbuka ukisanua yapo...