Ndo maana wamemfungia. Wanajua huyo mtu wao ni zaidi ya dhaifu maana hata kuongea tu hawezi.
Rais ni Tundu Lisu basi. Unamuachaje mtu mwenye akili nyingi kama yule mnatuletea form four failure?.
CCM mmeinajisi sana hii nchi na kwa dhambi hii Mwenyezi Mungu hata waacha salama.
Polepole is the designated survivor. Tumpe support afunguke zaidi nchi yetu ipone. Wenye viapo vya kulinda katiba wamepewa assignment na polepole, waifanyie kazi vinginevyo nao ni waguni tu.
Nadhani baadhi ya misingi hiyo ni uhuru, umoja, upendo, haki ili kuzaa uzalendo. Matunda ya uzalendo ni ni uwajibikaji hapo amani inatamalaki.
Africa yangu ikiwemo Tanzania tunaangamia kwa sababu misingi hii inabomolewa mchana kweupe na wale walio apa kuilinda na kuitetea.
Kama bara tuna kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.