Wanamiliki fedha zote, wanamiliki vyombo vyote, wanamiliki Taasisi zote, wanamiliki mali nyingi lakini bado wanakuogopa. Bado unawatisha na wanatishika.
Atukuzwe Mungu mkuu aliyekupa uwezo huo.
Mungu aliyeanzisha nia hiyo ya ukombozi wa Nchi hii ndani yako, yeye mwenyewe na akaikamilishe nia...
Tusiombe tufike huko. Kwa akili fupi tulizo nazo Watanzania tunadhani moto ukiwaka utawaunguza CHADEMA tu kitu ambacho ni UJINGA tu wa kutochambua mambo kwa kina. Ndugu yangu, tukifika huko, waliomo na wasiokuwemo wote wataunguzwa na moto huo.
Tusiombee hata kidogo kufika huko, ni hatari.
Unaingiaje kwenye uchaguzi Mkuu wakati huo Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ambaye ndo mpinzani wako mkuu yupo mahabusu, na kama haitoshi, chama kimefutiwa Ruzuku yake, kimezuiliwa kufanya shughuli zake za kisiasa, kimebanwa kila kona.
Katika mazingira hayo, hapo kuna uchaguzi gani...
Tarehe 23.08.2025 ni siku iliyotangazwa na Kanisa Katoliki Tanzania kuwa itakuwa ni kilele cha maombi makuu kuhusu HAKI na AMANI katika Nchi yetu.
Naomba kuwaalika Watanzania wote wenye mapenzi mema, watu wa Dini zote na imani zote za Makabila yote na wanaokerwa na vitendo vya uvunjifu wa haki...
Tunaendelea na Novena. Nashauri Wiki mbili kabla ya tarehe 29.10. 2025 tufanye mfungo Mtakatifu pamoja na Novena. Mwisho wa sala za Novena kila siku ipigwe Litania ya watakatifu wote.
Mimi naamini kuwa Tundu Lissu amebeba mikoba ya ukombozi kamili wa Nchi hii. Kutokana na imani hiyo, naamini pia kwamba ikiwa tutamwacha Tundu Lissu aendelee kupambana yeye mwenyewe kana kwamba anatafuta ukombozi wa familia yake tu, siku zinakuja Mungu atatupeleka utumwani.
Utumwa huo...
Hapo umenena. Ki ukweli Kanisa Katoliki hawana ajizi kwenye kipengele cha kukemea maovu hasa yanayofanywa na watawala.
Hii ndo kazi ya pekee. Kanisa lazima lisimame imara kuwapigania waumini wake.
Ni siku nyingine tena ninapokuja kwako Mungu mkuu nikikuomba uitendee mambo makuu Nchi yetu Tanzania, hasa mwaka huu uliojaa dhuluma.
Nakuomba Mungu mkuu, Mungu mwenye haki na Mungu usiye na upendeleo mwaka huu usipite bila kutuma jeshi la malaika zako kuja kuikomboa Nchi hii kutokana na Dhuluma...
Tunakushukuru, tunakusifu, tunakuabudu na kukutukuza Mungu mkuu.
Tunaomba Mungu mkuu na Mungu mwenye haki, uitazame kwa macho yako yenye huruma Nchi yetu Tanzania na Watanzania wote.
Tunakuomba kwa mateso ya wateule wako walio mstari wa mbele wa mapambano ya ukombozi wa kweli wa Nchi...
Watu wengine ni shida kweli kweli. CHADEMA imekufaje? CHADEMA haitakufa mpaka UKOMBOZI kamili wa Nchi hii umepatikana.
Chama gani cha upinzani kinaogopwa hapa Nchini zaidi ya CHADEMA?
Nyie mliokubali KUOLEWA na mfumo endeleeni huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.