Ni kweli. Vita havitumii silaha tu bali hata Mbinu za Medani. Ebu fikiri jinsi MKWAWA alivyowatandika Wajerumani akafanikiwa kuwaua askari wengi wa kijerumani pamoja na Kamanda wao Emil Von Zelewisk na kuteka mizinga na bunduki nyingi jeshi lake likiwa linatumia tu mishale na mawe.
Mtoa mada upo Dunia ya wapi sijui?
Hawa mashahidi wataongozwa na Lissu, kwa hiyo kutakuwa na Maswali strategic ambayo yatakuwa yakimsaidia Lissu kuonekana hana hatia.
Naunga mkono hoja. Kama hali hii itaendelea siku hadi siku bila kurekebisha makosa yaliyotokea, naona kama Tanzania inakwenda kuzama kabisa. Mbaya zaidi ni kwamba, tatizo moja linazaa matatizo mengi zaidi, kwa hiyo inakuja kuwa ngumu sana kuyatatua hayo matatizo kwa wakati mmoja. Tusipochukua...
Mwigulu kumlinganisha na Magufuli ni dhambi kubwa sana.
Mwigulu na JPM wapi na wapi?
1. Mwigulu hana mvuto kwa watu, lakini JPM alikuwa na mvuto usio kifani kwa watu. Alikuwa anakubalika na Watanzania wengi zaidi, siyo huyu.
Ungejua Historia halisi jinsi Uhuru ulivyopatikana usingesema hayo. Nenda kauleze wazee wenye akili kuwa, Nyerere alikwenda UN kudai uhuru, kwa mwongozo na msaada wa nani?
Wakatoliki wakiwa viongozi hata kama watakuwa na mapungufu kidogo lakini kwenye mambo ya Msingi ya Nchi wapo strict sana. Hata kama atakuwa mwizi, ataiba tu matunda kidogo lakini wengine wanaiba matunda pamoja na kung'oa ule mti wa matunda kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.