Recent content by Mushkov

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nchimbi yuko wapi?

    Naomba mnisaidie, leo mtakuwa mmefanikiwa kumwona Nchimbi katika Kanisa Katoliki lolote hapa Nchini?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Mpaka hapo, hawa wa kwetu hawawezi hata kwa robo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Hapo sawa.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Naomba kuuliza; Kati ya Jeshi letu na Wahouth wakiamua kuzichapa nani kati yao atashinda vita?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Ni kweli. Vita havitumii silaha tu bali hata Mbinu za Medani. Ebu fikiri jinsi MKWAWA alivyowatandika Wajerumani akafanikiwa kuwaua askari wengi wa kijerumani pamoja na Kamanda wao Emil Von Zelewisk na kuteka mizinga na bunduki nyingi jeshi lake likiwa linatumia tu mishale na mawe.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Mtoa mada upo Dunia ya wapi sijui? Hawa mashahidi wataongozwa na Lissu, kwa hiyo kutakuwa na Maswali strategic ambayo yatakuwa yakimsaidia Lissu kuonekana hana hatia.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Watakula vyuma mpaka watatamani ardhi ipasuke.
  8. M

    JamiiForums Tanzania The rise of Tanzanian Mafia,

    Sawa, Mkuu. Naona kama kuna ukweli fulani hivi.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hii miezi 18 ijayo inabeba hatma ya Tanzania!

    Hakika. Miezi 18 ni mingi mno. Watu wamechoka sana.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hii miezi 18 ijayo inabeba hatma ya Tanzania!

    Naunga mkono hoja. Kama hali hii itaendelea siku hadi siku bila kurekebisha makosa yaliyotokea, naona kama Tanzania inakwenda kuzama kabisa. Mbaya zaidi ni kwamba, tatizo moja linazaa matatizo mengi zaidi, kwa hiyo inakuja kuwa ngumu sana kuyatatua hayo matatizo kwa wakati mmoja. Tusipochukua...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

    Mwigulu kumlinganisha na Magufuli ni dhambi kubwa sana. Mwigulu na JPM wapi na wapi? 1. Mwigulu hana mvuto kwa watu, lakini JPM alikuwa na mvuto usio kifani kwa watu. Alikuwa anakubalika na Watanzania wengi zaidi, siyo huyu.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwani ni lazima Makamu mpya wa Rais awe mkatoliki?

    Wakati wa Kikwete Makamu wa Rais walikuwa Dr. Shein na G. Billal kwa sababu Kikwete alikuwa Rais kutoka bara na Makamu wake ni lazima watoke Zanzibar.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Prof Adolf Mkenda anafaa kuwa Makamu wa Rais (Msomi, Msikivu, Mkatoliki & Busara)

    Ungejua Historia halisi jinsi Uhuru ulivyopatikana usingesema hayo. Nenda kauleze wazee wenye akili kuwa, Nyerere alikwenda UN kudai uhuru, kwa mwongozo na msaada wa nani?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Prof Adolf Mkenda anafaa kuwa Makamu wa Rais (Msomi, Msikivu, Mkatoliki & Busara)

    Yupo Anthony Mtaka. Huyu ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe kwa sasa. Ni jembe kweli kweli.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Prof Adolf Mkenda anafaa kuwa Makamu wa Rais (Msomi, Msikivu, Mkatoliki & Busara)

    Wakatoliki wakiwa viongozi hata kama watakuwa na mapungufu kidogo lakini kwenye mambo ya Msingi ya Nchi wapo strict sana. Hata kama atakuwa mwizi, ataiba tu matunda kidogo lakini wengine wanaiba matunda pamoja na kung'oa ule mti wa matunda kabisa.
Back
Top Bottom