Recent content by Mushkov

  1. M

    JamiiForums Tanzania Sasa nimemwelewa Dr. Nchimbi

    Siku ile aliyotoa hotuba Dr. Nchimbi kwamba Watanzania wapiganie Katiba mpya, sikumwelewa vizuri, lakini kwa sasa nadhani nimemwelewa kwa kwa asilimia kubwa. Mambo makuu matatu aliyoyasema ambayo yamenifanya nimwelewe ni kama vile:- 1. Mmemwalika mtu anayefanana fanana na kazi yenu(kutetea haki...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wananchi wamekataa maigizo ya Nchimbi, hiki ni kiwewe cha siku 30 za Commonwealth.

    Kinachoweza kusikilizwa na Watanzania kwa sasa ni vitendo tu. Kama tutaamka siku moja tukakuta:- 1. Lissu na wafungwa/mahabusu wote wenye kesi za michongo wameachiwa huru bila masharti, 2. Viongozi wa ngazi za juu bila kupepesa macho wamekiri kwa moyo wao wote, kwa roho yao yote na kwa nia yao...
  3. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hii Dunia imejaa madeni kila kona haiwezi kujiendesha kwa Kodi na Mikoo tena | Tegemeo la Dunia kwa sasa ni Ubia (PPP) - Kafulila

    Mimi nafikiri Dunia ya leo imejaa uongo kuliko madeni. Swali la kujiuliza, Je, hiyo PPP ipo Mbinguni au Angani?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Heche, dawa ya tuhuma sio wanawake kukufariji ni kujibu tuhuma na kupisha uchunguzi

    Inaonekana waliokutuma hawajakusugua vizuri. Nenda kasuguliwe kisawa sawa, yawezekana akili yako itarudi mahala pake. Kwa taarifa yako, Heche ni Dhahabu ya Watanzania.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Amefanya kila awezalo kuwalazimisha waTanzania. Imeshindikana. Kama hujui sasa nakufahamisha

    Jamani, ebu ifike muda tuwe serious kidogo. Watu mkishavimbiwa mihogo mna kejeli kweli kweli. Hao wazungu mnaowapa majina ya ovyo ndo hao hao wanaowapiga pipe ili wawape misaada. Ipo hivi, ukiacha mwili wako, vingine vyote kwa zaidi ya 95% ni ama vimetengenezwa na na hao hao wazungu au...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Amefanya kila awezalo kuwalazimisha waTanzania. Imeshindikana. Kama hujui sasa nakufahamisha

    Bado kitambo kifupi, kifupi sana, Mbuyu unakwenda kuangushwa na wenye Haki.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wenye akili tu, jaribu kufikiria baada ya MwanaFA kuzomewa Dk. Samia na machawa wake hali zao zikoje in terms of mental fitness

    Hii hali inaendelea kuimarika zaidi. Watawala wanatakiwa kuchukua hatua mapema. Itafika siku ambapo hali itakuwa ngumu zaidi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wenye akili tu, jaribu kufikiria baada ya MwanaFA kuzomewa Dk. Samia na machawa wake hali zao zikoje in terms of mental fitness

    Nikikuwa sijaiona hiyo. Nimeingia Youtube nikaisikiliza. Ki ukweli, watawala wetu wajitathmini. Tulipofikia, hali hii haiwezi kurudi nyuma tena ikawa kama huko nyuma. Kuendelea kukaza fuvu, ni kupoteza muda bure. Watawala wakubali na wakiri kwamba kuna tatizo, na siyo dhambi hata kidogo kukiri...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mashambo: Fedha Zinazochangiwa kwa Makamu Mwenyekiti Heche Hazitumiki Kwa Maslahi ya Chama, zinatumika kwa Maslahi binafsi

    Mkishalambishwa buyu la asali mnapiga kelele kweli kweli. Ebu tuambie, wewe umekwenda kwa bei gani vile?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Watu wameoza mtaani. Wakuu, tubaki njia kuu UKIMWI ni hatari

    Maswali ya ufahamu. Mtu kafanya tendo leo na kaambukizwa. 1. Itachukua muda gani kuanza dalili za maambukizi? 2. Je, akipima baada ya wiki mbili au tatu atagundulika kuwa ana maambukizi?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuna ujumbe wenu JWTZ hapa kutoka X. Mjumbe hauawi

    Hapo umenikosha. Ni kweli kabisa kwamba, ukombozi kamili wa Nchi hii upo mikononi mwa wananchi wenyewe. Hapa shida kubwa ni Watanzania wengi bado wapo gizani. Hawana ufahamu wa kutosha kuhusu Mambo ya Msingi katika Nchi. Vile vile wengi hatujitambui, na wanaojitambua ambao walitakiwa kuwaamsha...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuna ujumbe wenu JWTZ hapa kutoka X. Mjumbe hauawi

    Ki ukweli, inaumiza sana. Ilitakiwa mihimili hii mitatu kila mhimili ujitegemee ili kwamba kama mhimili mmoja utaoza, basi mihimili miwili iliyobaki itaushikilia huu mhimili uliooza ili usilete madhara makubwa kwa jamii. Lakini pia kama ingetokea mihimili yote mitatu imeoza, ilitakiwa Jeshi letu...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Familia ya Baba, Mama, Watoto na Wajukuu.

    Katika familia inatarajiwa Baba akiyumba, basi Mama amuimarishe Baba, Mama akishindwa na yeye akayumba vile vile, basi Watoto wawaimarishe wazawa wao, lakini kama imeshindikana kabisa watoto kufanya hivyo na wao wakayumba vile vile, angalau basi Wajukuu wawaimarishe hawa ndugu zao. Je, ikitokea...
  14. M

    JamiiForums Tanzania KKKT imekuwa lango wa Serikali kujisafisha, kanisa limepoteza mwelekeo wake wa kiimani

    Nitaongea na viongozi wangu wa Dini wasijaribu kuwaalika viongozi wa KKKT katika shughuli mbalimbali za Kidini. KKKT wameamua kuwa PANGO LA WALANGUZI, WALARUSHWA, WATAKATISHAJI FEDHA, MAFISADI na UCHAFU WOTE UNAOFANANA NA HUO. Iwe ni marufuku kabisa kuwakaribisha pia iwe marufuku viongozi wangu...
  15. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Serikali iwahurumie watoto hawa waliokosa mikopo mwaka 2025, wakipanga mwaka huu waanze na wao

    Kuna watoto wa Watanzania hasa wenye kipato duni ambao walitakiwa kuanza masomo ya chuo kikuu mwakajana 2025, lakini kwa kukosa mikopo ya Elimu ya juu mpaka sasa wapo mitaani tu hawajui wafanye nini. Kwa hiyo, naomba watoto hawa mara watakapoomba tena mkopo mwaka huu 2026, wapewe kipaumbele...
Back
Top Bottom