Acha kumtegemea binadamu anayekufa mtegemee Mungu anayeish milele , Umekengeuka rud na utubu kiburi cha uzima kina kulevya , Ukinikana mbele za watu mm nitakukana mbele ya baba yangu aliye mbinguni
Hahaaaa wala sifikirii tena kuunga foleni ya kupiga kura katika maisha yangu , kwa upumbavu aliyofanya mgombea urais aliyepita et niachieni kura zangu watu tukamwachia mpaka leo hajatoa msimamo wake zaid ya kuunga mkono na kuendekea kuua upinzani kisayansi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.