Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Mradi huu ulipuzinduliwa Agost 17,2015, wenzetu hawa waliamini kuwa mradi huu ungekuwa ni mtaji mkubwa kwa chama tawala(CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hasa katika jiji la Dar-es-Salaam.
Kama haitoshi,ilipofika September 20,2015 yaliwasili mabasi 138 kwa ajili ya mradi huo na kuongeza hamasa ya hawa wenzetu kuwa CCM ina nafasi kubwa ya kushinda katika jiji la Dar-es-Salaam kutokana na kuanza kwa huu mradi.
Kwa ushahidi,pitia huu uzi usome comments za vijana wa Lumumba kama kina YEHODAYA na wengineo.
Uzinduzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi(BRT) Dar - Agosti 17, 2015
Nakumbuka moja ya kauli iliyokuwa ikichagiza ujio wa mradi huu ni maelezo kwamba huu ulikuwa ni mradi mkubwa wa aina yake katika nchi za Afrika Mashariki(sisi tukiwa ndio wa kwanza kuwa na mradi wa aina hii).
Hata hivyo,licha ya mradi huu kuzinduliwa ikiwa ni takribani miezi 2 kabala ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015,bado jiji la Dar na Manispaa zake zilichukuliwa na UKAWA kwa kiasi kikubwa na ikiwa ni mra ya kwanza kwa wapinzani kushinda viti vingi vya udiwani na ubunge katika jiji hilo.
Hivyo hili ni funzo kwa hawa wenzetu wanaoamini hii miradi mikubwa ndio itawabeba mwaka 2020.
Niwaambie tu angali mapema kuwa,mkiweka kipaumbele kikubwa katika hii miradi kama flyovers,n.k na kusahau mambo yanayogusa wananchi moja kwa moja kama vile ajira, uchumi,n.k, basi mjue tu ya mwaka 2015 yatajiridua tena na safari hii itakuwa ni hatari zaidi unless Tume Huru isipatiakane.
Na pia muombe Kesi ya Kikatiba ya kutaka Tume Huru na ie ya kupinga sheria ya uchaguzi isifanikiwe.
Mkipuuza maneno haya majibu mtayapata 2020 kwani kura zitaongea ukweli bila kujali nani anatangazwa mshindi.
Kama haitoshi,ilipofika September 20,2015 yaliwasili mabasi 138 kwa ajili ya mradi huo na kuongeza hamasa ya hawa wenzetu kuwa CCM ina nafasi kubwa ya kushinda katika jiji la Dar-es-Salaam kutokana na kuanza kwa huu mradi.
Kwa ushahidi,pitia huu uzi usome comments za vijana wa Lumumba kama kina YEHODAYA na wengineo.
Uzinduzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi(BRT) Dar - Agosti 17, 2015
Nakumbuka moja ya kauli iliyokuwa ikichagiza ujio wa mradi huu ni maelezo kwamba huu ulikuwa ni mradi mkubwa wa aina yake katika nchi za Afrika Mashariki(sisi tukiwa ndio wa kwanza kuwa na mradi wa aina hii).
Hata hivyo,licha ya mradi huu kuzinduliwa ikiwa ni takribani miezi 2 kabala ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015,bado jiji la Dar na Manispaa zake zilichukuliwa na UKAWA kwa kiasi kikubwa na ikiwa ni mra ya kwanza kwa wapinzani kushinda viti vingi vya udiwani na ubunge katika jiji hilo.
Hivyo hili ni funzo kwa hawa wenzetu wanaoamini hii miradi mikubwa ndio itawabeba mwaka 2020.
Niwaambie tu angali mapema kuwa,mkiweka kipaumbele kikubwa katika hii miradi kama flyovers,n.k na kusahau mambo yanayogusa wananchi moja kwa moja kama vile ajira, uchumi,n.k, basi mjue tu ya mwaka 2015 yatajiridua tena na safari hii itakuwa ni hatari zaidi unless Tume Huru isipatiakane.
Na pia muombe Kesi ya Kikatiba ya kutaka Tume Huru na ie ya kupinga sheria ya uchaguzi isifanikiwe.
Mkipuuza maneno haya majibu mtayapata 2020 kwani kura zitaongea ukweli bila kujali nani anatangazwa mshindi.