Napenda kukufahamisha kuwa haki ya msamaha wa dhambi ilipitia damu
Za wanyama biblia inasema hizo
Damu za wanya zilikuwa hazimkamlishi
Mtu kwa utakatifu mpaka alipokuja yesu
Ndio sasa tunakamilishwa kwa imani
Nasio kwa matendo ya sheria
Soma wagalatia 3:23-29lakini kabla ya kuja ile imani tulikuwa tumewekwa chini ya sheria tumefungwa mpaka ije ile imani lakini iwapo imani imekuja hatupo tena chini ya kiongozi.
Soma yohana 13:34-35 anasema amri mpya nawapa mpendani ikiwa amri yesu amleta amri MPYA tena iliyokuu ni upendo tena paulo anaongezea
Anasema mtu asipokuwa na upendo hawezi kumwona baba
Nekujibu mpendwa labda nikufafanulie hivi kati yetu mimi na wewe wadhani wayahudi hawaijui sabato neno torati maana yake ni sheria kwa kwa hiyo torati na agano la kale
Lilikuwa na uongozi wa matendo ya sheria
Labda nikupe mfano
Wa karanga chukua karanga uimenye
Halafu hilo ganda lifunike vizuri...
Ndugu soma waebrania 10:1-4 katika sabato yaliandamana na hayo kuitii sabato haikuwakamilisha ndio maana ukisoma yohana 4:24 haisomeki kwamba wamwabuo baba katika sabato aa bali wamwabuduo ktk roho na kweli
Naomba usome marko 2:27
Angalia yesu anakujibu vyema kwamba mwanadamu hakufanyika kwa ajili ya sabato
Nadhani kuna kitu yesu alikiona ambacho kinawasumbua wengi
Kwasababu yesu alisema pia
Yeye hakuja kuitangua torati
Ila kuitimiliza
Yesu aliikuta sabato
Lakini palikuwa na mapungufu
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.