Recent content by musamwanga

  1. musamwanga

    Babu auawa Moshi baada ya kubaka mtoto na kumuambukiza Ukimwi

    Natoa pole kwa huyo binti namuombea mungu amsaidie
  2. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Huo huo ni ukweli wanachuja mbu wanameza ngamia
  3. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Soma pkitabu cha warumi utaelewa mungu akubariki mpendwa mwamini bwana yesu uwe huru
  4. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Napenda kukufahamisha kuwa haki ya msamaha wa dhambi ilipitia damu Za wanyama biblia inasema hizo Damu za wanya zilikuwa hazimkamlishi Mtu kwa utakatifu mpaka alipokuja yesu Ndio sasa tunakamilishwa kwa imani Nasio kwa matendo ya sheria
  5. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Dhambi hatakaswi na jumamosi bali kwa neno la kristo yesu maana yesu anasema njoni kwangu ninyi nyote mlemewao na mizigo ya dhambi nami nitawapumzisha
  6. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Soma wagalatia 4:4-5 hata ulipowadia utimilifu wa wakati Mungu alimtuma Mwanawe kusudi Awakomboe hao Waliokuwa chi ya sheria au torati.
  7. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Soma wagalatia 3:23-29lakini kabla ya kuja ile imani tulikuwa tumewekwa chini ya sheria tumefungwa mpaka ije ile imani lakini iwapo imani imekuja hatupo tena chini ya kiongozi.
  8. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Kolosai 2:16-17 tusiendelee kuishi kuegemea kivuli maadamu kristo ametuweka huru
  9. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Soma yohana 13:34-35 anasema amri mpya nawapa mpendani ikiwa amri yesu amleta amri MPYA tena iliyokuu ni upendo tena paulo anaongezea Anasema mtu asipokuwa na upendo hawezi kumwona baba
  10. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Agano la kale hakuna neno kanisa hakuna msabato aliyeabudu kanisani
  11. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Nekujibu mpendwa labda nikufafanulie hivi kati yetu mimi na wewe wadhani wayahudi hawaijui sabato neno torati maana yake ni sheria kwa kwa hiyo torati na agano la kale Lilikuwa na uongozi wa matendo ya sheria Labda nikupe mfano Wa karanga chukua karanga uimenye Halafu hilo ganda lifunike vizuri...
  12. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Ndugu soma waebrania 10:1-4 katika sabato yaliandamana na hayo kuitii sabato haikuwakamilisha ndio maana ukisoma yohana 4:24 haisomeki kwamba wamwabuo baba katika sabato aa bali wamwabuduo ktk roho na kweli
  13. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Mateso ya yesu yalianza ijumaa siku ya tatu akafufuka hiyo siku ndio tunaikumbuka ni siku ya ukombozi wetu aliouahidi mungu
  14. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Naomba usome marko 2:27 Angalia yesu anakujibu vyema kwamba mwanadamu hakufanyika kwa ajili ya sabato Nadhani kuna kitu yesu alikiona ambacho kinawasumbua wengi Kwasababu yesu alisema pia Yeye hakuja kuitangua torati Ila kuitimiliza Yesu aliikuta sabato Lakini palikuwa na mapungufu Na...
  15. musamwanga

    Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

    Kama mungu angeihesabu sabato ni ya kupumzika tungeshaakufa wote maana we jiulize akipumzika mungu kuna atakaye baki kweli
Back
Top Bottom