Recent content by Musa Minza

  1. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Kupunguza mafuta mwilini

    Nitaifanyia kazi vizuri hii kesho ndugu yangu
  2. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Kupunguza mafuta mwilini

    Naomba msaada kqa anayefahamu dawa ya kitabibu na yenye kipimo sahihi itakayonisaidia kupunguza mafuta mwilini. Wasalaam.
  3. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Mpigania Haki za Mapenzi ya Jinsia moja, Goodluck Haule na wenzie watatu waburuzwa mahakamani

    Nawaona wanavyojitutumua na kujitetea.
  4. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Mpigania Haki za Mapenzi ya Jinsia moja, Goodluck Haule na wenzie watatu waburuzwa mahakamani

    Najua humaanishi ulichokiandika jina lako linatuambia hivyo Deceiver.
  5. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Wizara ulinzi ya Marekani kwa mwaka huu in dola bilioni 700, China dola bilioni 173 na Urusi dola bilioni 178

    Shida ya hii dhambi huwa ina majivuno sana.Yani ukishaitenda au hata kama unajiandaa kuitenda lazima utoe kwanza tambo.Ndiyo inakuwaga vile.
  6. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Diamond kwisha habari yake

    we ndiyo umetokomea kabisa
  7. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Diamond kwisha habari yake

    [emoji12]
  8. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Picha cha terminal 3 JNIA : Ni za kweli au downloaded ?

    [emoji3]
  9. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Mayweather na Diamond hamna lolote

    Ni wivu tu
  10. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  11. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa Tanzania wameshindwa kuhudhuria msiba wa mama yake Sugu kwa sababu za kiitikadi?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  12. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania KIMENUKA,Diamond na Mavoko wakutana uso kwa uso Basata,Diamond aonekana kutetemeka kama mtoto mdogo alioga maji ya barafu

    oooh mi nimeshafahamu tatizo ni zaidi ya mnyukano wa dai na rich.hapa tatizo ni lile lile la ki team.
  13. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania KIMENUKA,Diamond na Mavoko wakutana uso kwa uso Basata,Diamond aonekana kutetemeka kama mtoto mdogo alioga maji ya barafu

    end of the day ukweli utafahamika.kwasababu kinachobishaniwa kipo kwenye makaratasi na sisi sote hatujauona mkataba kati ya pande mbili so wakati mwingine mtazamo wa macho khs huyu katetemeka huyu kaja na watu kitita ni mitazamo tu binafsi.ngoja tuone mwisho wake kisha tuje na stori zingine za...
  14. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania KIMENUKA,Diamond na Mavoko wakutana uso kwa uso Basata,Diamond aonekana kutetemeka kama mtoto mdogo alioga maji ya barafu

    tehe tehe tehe.huo ni uongozi wa WBC na shauri lipo kati ya rich mavoko na WBC so hao wote unaowaona ni management ya WBC na huyo diamond ndiyo mtu mkubwa CEO so kama mkubwa yupo ajabu ni nini kuwaona ma manager?
  15. Musa Minza

    JamiiForums Tanzania KIMENUKA,Diamond na Mavoko wakutana uso kwa uso Basata,Diamond aonekana kutetemeka kama mtoto mdogo alioga maji ya barafu

    mbona haionyeshi anapotetemeka picha lote anaonekana yuko normal tu.kuna namna ya kaushabiki hapa.
Back
Top Bottom