Recent content by Musa Meizon

  1. Musa Meizon

    Kama Simba mfalme wa mwitu

    [emoji23][emoji23][emoji23] aisee umefikiria sana hadi umepitiliza naona!!
  2. Musa Meizon

    Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

    [emoji23][emoji23]hatari tupu
  3. Musa Meizon

    SoC01 Tambua Nyakati: Usibaki unapotakiwa kuondoka

    Ukweli ni kwamba, ni jambo kubwa sana kutambua NYAKATI, ni muhimu kujua muda gani ufanye Nini? Uwe wapi? na hatima au matokeo ni Nini? Habari yako Mpenzi msomaji. Leo napenda kukuepusha na hatari ya kutotambua nyakati katika MAHUSIANO YA KIMAPENZI. Watu wengi wanapoteza muda kubaki na wenza...
  4. Musa Meizon

    Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

    Leo hii ukiongea ukweli utaambiwa mnafiki, unakelele, mzushi ila unge support uongo na uovu wa kuchepuka utaonekana unaongea point sana [emoji23]
  5. Musa Meizon

    Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

    That's very dangerous, kuwa makini.
  6. Musa Meizon

    Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

    Hahah sawa nakuelewa ndugu yangu, ni kitu ambacho nadra sana kwenye kizazi hiki ila wapo. Inawezekana hawapo kwenye ukoo wako ila kwenye ukoo mwingine wapo na ni wanaume lijali hakuna tatizo lolote. Sababu za kutochekupa sio lazima awe anatatizo, nadhani nimejaribu kuelezea zingine kwenye mada...
  7. Musa Meizon

    Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

    Kama tu unampenzi manaake inakuhusu. Hata kama sio ndoa
  8. Musa Meizon

    Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

    Hiyo ni imani kaka. Hujafanya kuchunguza uthibitishe kama kweli wasio chepuka wanamatatizo wote au la. Ila nafikiri wapo wasio na matatizo ila wameamua tamaa zao zote wazimalize kwa mwanamke mmoja! Ni bora kuwa mbunifu kilasiku kweny tendo ili kukidhi haja yako na kuenjoy mwanamke wako kuliko...
  9. Musa Meizon

    Yale usiyoambiwa kuhusu wanaume ili kumjua anayekufaa

    Habari yako ndugu msomaji; Ukweli ni kwamba wanaoteseka kwenye mahusiano ya kimapenzi hasa ni wanawake. Hivyo Leo naorodhesha sifa ambazo mwanamke anaweza kuzichunguza ili kujua anaingia kwenye mahusiano na mwanaume sahihi au laa kabla hajaishia kuchezewa na kutelekezwa. (Mwanaume pia akizijua...
  10. Musa Meizon

    Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

    Habari yako ndugu msomaji. Hili ni swali la kizazi cha leo, watu wengi wamelijibu kutokana na hisia zao na sababu mbali mbali zisizo na ukweli. Leo tulijibu katika uhalisia wake. Kabla hujajibu lazima ujue hili, nini kinapelekea wanaume kuwasaliti wapenzi wao? Tuanze na mzizi. Ukweli ni...
  11. Musa Meizon

    Her body language

    "You are not my type!"..... this is a famous line used by women and even men sometimes to signify that a particular person is not in the list of the kind of lovers he/she would mingle with. Ok, let's stick to the topic and avoid being too broad on this subject. Women are created to be verbally...
  12. Musa Meizon

    Kama Simba mfalme wa mwitu

    Habari yako ndugu msomaji, kwa Mara nyingine tena nawasilisha kwako mada niliyo iandaa ili kukufanya uwe bora zaidi. Ni imani yangu umejipanga kuboresha maisha yako huku Mungu akiwa tegemeo lako. Katika pita pita zangu nilikutana na kipindi kwenye runinga juu ya mfalme wa mwitu, yaani SIMBA...
Back
Top Bottom