mheshimiwa waziri amesema ikama ya walimu wa masomo ya sanaa inatosha na kuna ziada watakachofanya ni kuhamisha walimu kutoka walikolundikana mpaka kwenye upungufu.Swali langu mbona hawajatupa takwimu ya walimu waliopo kwa kila somo la sanaa na mahitazji na hiyo ziada maana isije ikawa ziada ipo...
inabibidi walimu wajiandae kisaikolojia kwani baadhi ya kozi mambo haya ya kulilia ajira za serikalini walishasahau cku nyingi.Na hata hao walimu wa science wenyewe sidhani kama itazidi miaka mitano nao wataingia kwenye mtego huu.
jamani mbona hvyo vyuo hawaweki hayo majina on line na pia bodi hawaandiki lolote kwenye acount zetu za bodi,kwa mwenye majina ya waombaji wapya wa chuo cha ushirika moshi naomba unitumie e-mail musakibidu@yahoo.com
naomba mnijuze nawezaje kuona jina mnufaika wa mkopo kwan nikiangalia naona wametoa mchanganuo tu lakini sioni fedha .Nifanyaje ili nijue ka nimeapata mkopo au la
Inaonekana ajira ya kuajiriwa serikalini ni tatizo sana, na pia watu wanapomaliza vyuo mbalimbali wanategemea kuajiriwa,hv wataalam wetu wa masuala ya elimu bado hawajaona umuhimu wa kua na mitaala ambayo itatusaidia mtu kujiajiri ili amalizapo shule aweze kuendesha maisha yake au wameona kua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.