South Africa, Namibia, Botwasana, Egypt,Morrocco,Tunisia,Libya , halafu Sisi ndo tunaongoza [emoji848][emoji848][emoji848] ndo mana mnataka kuufuta upinzani, Kwa lbs hizi ngachoka kabisa[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Viva mbowe and team mumeweza kummulika Mzee sumaye asipenye kwenye kamati kuu Safi Sana angekuwa speaker ya chama cha mbogamboga Kent vikao vyeenu.
Yaani jasusi alikuwa kazini, Sema mbowe umeonesha ujasusi zaidi nikupe cheo cha CIA well done kamanda
Mkuu Kwa hoja zako hizi hakika Pascal ameelewa kuwa huu si wakati wa majaribio ya kuchagua kiongozi mkuu wa chama Kwa matakwa ya CCM. Aangalie demokrasia kubwa inavyofanyika katika uchaguzi WA viongozi wa lands na ajue kuwa hakika cdm ni chama cha kuigwa kinachotakiwa ni #tumehuruyauchaguzi ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.