Naamini ni Tabia tu ya Mtu sio pesa wala nini. maana Hadi Mtu kuitaka urais hawezi kuwa mfupi Bali anaziheshimu taratibu za chama chake hasa kufuatia zuio la kutopiga kampeni na kuonesha nionesha nia.
Wasira anakuwa mwenye mvuto wa Kuwa Rais na umaarufu wake unaongezeka siku Hadi siku. kuna muda imefika sasa nimeshawishika sana na kumwona ndie pekee mwenye sifa za kuwa Rais. Huyu Mzee mwajibikaji wake, uzalendo na uaminifu unajipa muda wa kumpa kipaumbele. CCM wakimlitisha hawatateseka sana...
kubaki CCM bila kua mwaminifu kipi vizuri!? Mzee wasira alipelekwa na wapiga kura wake na ndio maana alishinda kwa kizhindo akiwa nccr magrmeuzi... licha ya fitina za Maji, msanasheria mkuu msitaafu na waziri mkuu msitaafu kuamua kumbandika jina mbovu la Rushwa. but he z really Mr. clean
Mimi Wasira nitakuunga Mkono mpaka mwisho wa pumzi yangu. nakuthamini na kuiunga Mkono kila juhudi yako. Go on to presidential post this yearpplplllppp
Naona Zao la pamba kwa miaka ya kanda ya ziwa linashika hatamu upya. Nakuombea sana Wassira uwasaidie watu hao maana wewe ndie tegemeo lao miaka yote.
Asante Mungu kwa ajili ya Wassira na tunaamini ukitangaza nia wakulima sasa ni wakati wa kukuunga Mkono ili uwatee ukiwa rais wa Jamhuri ya...
Mimi nilimwona live Bungeni Dodoma tar. 28/1/2015 hali yake kiafya ni mbovu sana. pamoja na kuhonga mipesa, kuombewa na TB Joshua, kwenda kwa Wagana na mengoneyo naamini bado hatapata hiyo fursa maana hatutaki rais mbovu wa afy halafu jiziiiii... Mimi silipendi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.