Heaven Sent, Impressive!!! Hope mleta uzi atauzingatia inavyostahili huu ushauri! Umemaliza kila kitu mdada Heaven Sent
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!!! Hapana. Hayo ni mawazo yako binafsi mkuu. Siwezi kuku-judge though. Kimsingi ni kwamba hilo sio lengo langu na haiwezekani kabisa. Haingewezekana hata kama ingekuwa kwa kipindi kile. Naamini utakuwa umenielewa mkuu!
Sio busara kukashifu watu mkuu. Halafu kuna mambo mengine katika maisha zaidi ya mapenzi. Sio wote tuko kama unavyofikiria. Tujitahidi kufikiria vitu vingine pia.
Aaah Meeyah. Then hiyo itamaanisha kuwa huyo mumeo atakuwa na shida nyingine na wewe. Alikuwa hakuamini au alishakuchoka in the first place. Sio kwasababu ya kuuliziwa na mtu mwingine tena bila nia yoyote ovu! Hii meseji yangu iko very clear. Namtafuta kama ndugu na rafiki tu. Ana maisha yake...
Daah, comments za wadau ni very interesting! Tusisahau hili sio jukwaa la mapenzi wakuu. Halafu tangu 2001 mpaka leo mtu unawezaje kuwa na wazo la mapenzi? Tena kwa mtu ambaye hamjawahi kuwa na uhusiano wenye muelekeo huo?? Watu wana mawazo aisee. Hata hivyo nayaheshimu! Well, ndio diversity...
WanaJF, heshima kwenu. Naamini weekend inaenda vizuri.
Nimekuja kwenu na ombi moja. Namtafuta dada anayeitwa Jane. Jina lake la pili nadhani ni Ossoro (Jane Ossoro!).
Mara ya mwisho kupotezana na huyu dada ilikuwa mwaka 2001. Tulionana pale maeneo ya Chuo cha Afya na Tiba Muhimbili, Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.