tatizo ni kwamba alikuwa wapi miaka yote mpaka sasa ndio muone anachofanya ni kizuri ni kama si unafki huo anaofanya she has been there for quite a while now ghafla tu mama kaibuka na kuwa na machungu na nchi sasa ni kweli ana machungu na nchi ama anamachungu na mengine?????????????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.