Recent content by munguatoshatz

  1. M

    Wizara nane kufutwa, nyingine kuunganishwa

    Mbona sijaona wizara ya Maji? Napendekeza iunganishwe na nishati na madini kama ilivyokuwa miaka ya 90.
  2. M

    Majigambo ya Mtoto wa Rais na 'Precedents' za Viongozi Watangulizi

    Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Anayosema ndio anayoyasikia kutoka kwa baba na mama yake. Ridhiwan aliposema Rais hawawezi kutoka kaskazini umewahi kusikia baba yake akikemea kauli hiyo? Yote tunamwachia Mungu maana maandiko matakatifu yanatuambia Kisasi ni juu ya Mungu mwenyewe.
  3. M

    Samwel Sitta na Azan Zungu kuvaana uspika wa Bunge

    Sita apumzike zake kwa amani. Huyu mzee ndiye aliyesimamia uandishi wa katiba ya mafisadi na kutupa mawazo ya wananchi. Hana hadhi ya kuwa Spika wa Bunge letu tukufu. Kwanza arejeshe nyumba za Bunge alizoshikilia.
  4. M

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Lukuvi aliwahi kutuhumiwa ni fisadi wa elimu ( vyeti feki ) na hajawahi kukanusha.
  5. M

    NInayo yaona ubungo masaburi atasubiri sana

    Ni mmoja wa wale wanaotuhumiwa kufisidi nchi hivyo ni vizuri akashindwa kabisa.
  6. M

    Majedwali: Ripoti ya TWAWEZA ya 'Sauti za Wananchi' ya matokeo kuelekea uchaguzi

    Umesema jambo la kweli kabisa. Ni mazingira yanaandaliwa. Mungu TUVUSHE salama tunakusihi.
  7. M

    Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

    Fenela atamshindaje jembe John Mnyika? Mnyika ni mtetezi wa watanzania.
  8. M

    Baada ya Lowassa kuhama CCM hali ilivyo Monduli

    Tuko pamoja mwanangu. Pombe mbele kwa mbele.
  9. M

    UKAWA PAWAKA: Mazungumzo ya Siri Yakijadili Nafasi ya Urais Yanaswa!

    Propaganda. Huelewi kitu kuhusu siasa za Tanzania ama umezaliwa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Kila Mtanzania anafahamu kilichotokea 2010; Dr slaa alipokwa ushindi na kwa hekima wazee wakamshauri asiingize nchi kwenye machafuko. Lipumba anayetaka kugombea kwa mara ya tano, mara zote nne...
  10. M

    GE2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

    Hakuna fujo za team Lowassa ndio sababu ya kuibuka magufuli. Tuliokuwa ndani ya vikao ndio tunafahamu kilichotokea. Zilikuwa hesabu tu.
  11. M

    Wananchi kanda ya ziwa waanza kurudisha kadi za CHADEMA!

    Hapo Sawa kabisa. Hatutaki tena bunge la kupitishapitisha vitu vya hovyo hovyo. Kila kitu ndiyooooooo! Hakuna.
  12. M

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Well said especially the issue of members of parliament wabunge hamsini kwa hamsini utakuwa ukombozi kwa watanzania.
  13. M

    Adam Malima: Ndoa ya CHADEMA na CUF ni ndoa ya kijakazi

    Mtoto wa marehemu Kighoma Alli Malima, ambaye historia inamtambua kama Mtanzania aliyewahi kuficha hela nyingi za Serikali nje ya nchi na zilipokuwa confiscated akafa kwa pressure. Kijana kapewa fadhila hayakumbuki yaliyompata baba yake?
Back
Top Bottom