Recent content by mundu m

  1. M

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    kwa jinsi nilivyomuelewa anasema nafasi zilitangazwa 39 ila malioitwa kazinii ni 2 je? zile 37 zilizobaki zimeenda wapi.na anauhakika alifikisha alama angalau 50
  2. M

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    mkuu kama unauhakika ulifanya vizuri interview njoo tu, huwa wakalimu sana ukienda kwenye office zao pia inakuondolea hofu haiwezekani upoteze haki yako kiraisirais?
  3. M

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    nenda kwenye office zao ukaulize,upate jibu la uhakika
  4. M

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    kama ni hivyo si wangeonyesha kwenye qualifications ili mtu ambae hata huo uzoefu asiombe, nafikiri hata mtu mwenye uzoefu anaitaji kudhihiri uwezo wake kwa kushindana na wengine.
  5. M

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    hujanielewa kama huitwi kwenye interview utafanyaje vizuri? haiwezekani mtu umemzidi GPA yeye aitwe wewe usiitwe? kama wote mnaitwa halafu mwenye gpa ndogo hata pass akiitwa oral ni haki yake becouse kafaulu mtihani ila huwezi kumuita mtu pass kwenye interview umuache wa first au upper?
  6. M

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    Unakuta mtu umemaliza nae chuo kimoja umemzidi GPA ila yeye anaitwa wewe huitwi? kwa mfano nafasi ya supplies officer IFM nafasi ilikua 1 na wamemuita mtu I tu. tena akafanye oral sasa na ukizingatia watu wa procurement walivyojazana mtaani? sijui walitumia kigezo kipi?
  7. M

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    sawa ulipata kazi bila mchongo ila haimaanishi hakuna kujuana kuna mazingira yanaleta utata
  8. M

    Employment Opprotunity, TRA; Deadline 20/10/2015

    nimefungua post y senior procurement sijaona mkuu kama utaweza kucopy hicho kipengele utakuwa umenisaidia sana
  9. M

    Employment Opprotunity, TRA; Deadline 20/10/2015

    sijaona aisee naomba unielekeze, najua kwenye ile form kunakipengele unajaza GPA ila hawaspecify kama ni upper, kweye qualifications z post walizotoa pia sijaona
  10. M

    Employment Opprotunity, TRA; Deadline 20/10/2015

    nimesoma vizuri ila sijaona kipengele cha GPA kila post ina qualifications zake mm nimeangalia post y procurement wameonyesha ni degree pia uwe registered n psptb na hakuna general qualification
  11. M

    Employment Opprotunity, TRA; Deadline 20/10/2015

    acha kukatisha watu tamaa hawaangalii GPA.
  12. M

    Employment Opprotunity, TRA; Deadline 20/10/2015

    TRA wanatoa nafasi mara nyingi ila sioni wakiita watu kwenye interview? kuna zile za june hawajaita mpaka leo?
  13. M

    Employment Opprotunity, TRA; Deadline 20/10/2015

    sifa zipo fungua vizuri utasiona.
  14. M

    Kazi ya kujiajiri mwenyewe kwa pesa kidogo tu!

    unauza kwa kuzitembeza au kunasehemu maalumu unauzia?
  15. M

    TBS Kwa nn shortlist ? Ninawasiwasi

    na kujuana je?
Back
Top Bottom