Kuna mahali katika Bible inasema kuna dhambi hazisameheki
Ila kuna mahali pia Mungu anasema hakuna dhambi isiyo sameheka maana Mungu anatupenda mno..
Naomba kujua zaidi hapa
Asante Mwalimu
Mungu wa mbinguni awabariki Nyote humu
Samahani walimu wetu
Mwalimu 7Seven
Naomba kujua tafsri ya hii ndoto imekuwa ikijurudia sana katk maisha yangu mpaka nikawa naandika kwa notebook
Ipo hivi;
Huwa naota naogelea baharin au ziwan na hata mto, au navuka maji ya mto , mara nyingi kuna watu...
Kongole mwandishi wetu
Tumejifunza mengi...
-ndoa/mahusiano
- kujituma kazi kwa bidii
-kuishi vizuri na ndg,jamii nk
-biashara na uwekezaji
_imani/dini kuishika kama Rahma
Yangu ni hayo ndg wanajamii ....mbarikiwe sana
Ubongo una partition 3
1)Conscious part
2)Subconscious part
3)Unconscious part
Hizi ni sehemu za kutunza memories ktk ubongo kutokana na umuhimu wake katika maisha tunayopitia
Kuna taarifa za muhimu sana ,zingine za kawaida na zingine sio samuhimu ndiyo maana unakuta haijai
La mwisho ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.