Recent content by Munari

  1. Munari

    Dark days 17/03/20...

    La manyara nalo vip wakuu
  2. Munari

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Amen Amen [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji24] Ubarikiwe ndg yangu Umenifunza mengi mno Asante
  3. Munari

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Kuna mahali katika Bible inasema kuna dhambi hazisameheki Ila kuna mahali pia Mungu anasema hakuna dhambi isiyo sameheka maana Mungu anatupenda mno.. Naomba kujua zaidi hapa Asante Mwalimu
  4. Munari

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Asante Mtumishi wa Mungu alie Hai Nimepata kitu Nitafanyia kazi kadiri ya neema ya Mungu
  5. Munari

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Mungu wa mbinguni awabariki Nyote humu Samahani walimu wetu Mwalimu 7Seven Naomba kujua tafsri ya hii ndoto imekuwa ikijurudia sana katk maisha yangu mpaka nikawa naandika kwa notebook Ipo hivi; Huwa naota naogelea baharin au ziwan na hata mto, au navuka maji ya mto , mara nyingi kuna watu...
  6. Munari

    I'm looking for Registered Nurse job Vacancy

    Mdh tabora wametangaza fuatilia Geita pia Lingine anza pitia hizi hospitali binafsi au serikali kuuliza kama unaweza kuvoluntia itakuwa poa
  7. Munari

    Simulizi: Milango ya mafanikio

    Kongole mwandishi wetu Tumejifunza mengi... -ndoa/mahusiano - kujituma kazi kwa bidii -kuishi vizuri na ndg,jamii nk -biashara na uwekezaji _imani/dini kuishika kama Rahma Yangu ni hayo ndg wanajamii ....mbarikiwe sana
  8. Munari

    Simulizi: Milango ya mafanikio

    Weekend hii tupate japo ka episode 1 Mkuu utukumbuke
  9. Munari

    Je, ni kwanini ubongo haujai kama Flash Disk?

    Ubongo una partition 3 1)Conscious part 2)Subconscious part 3)Unconscious part Hizi ni sehemu za kutunza memories ktk ubongo kutokana na umuhimu wake katika maisha tunayopitia Kuna taarifa za muhimu sana ,zingine za kawaida na zingine sio samuhimu ndiyo maana unakuta haijai La mwisho ni...
  10. Munari

    Simulizi: Milango ya mafanikio

    Kimya mno vip Imeisha nn utamu wa Sam
  11. Munari

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Field : Nursing Officer (NO) Education : Bachelor Experience : 8 yrs Location : Dar es salaam (recently)
  12. Munari

    Ajira za TAMISEMI

    Majina ya short list lini yatatoka
  13. Munari

    Simulizi: Milango ya mafanikio

    Napenda mtoto aitwe Peniela
  14. Munari

    Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

    Vitab hivi havipo naona
  15. Munari

    House4Sale Nyumba inauzwa Tsh 15m. IKUNGI SINGIDA

    njoo ione vyumba 2, kimoja master na sebule nzuri kabisa.. ipo wilaya yai IKUNGI SINGIDA
Back
Top Bottom