Recent content by MUMBATI

  1. M

    JamiiForums Tanzania CCM watoa waraka wao katiba mpya, unaopingana na mapendekeza ya tume ya Warioba

    Bado ni kiini macho na ni ushahidi kuwa ccm wamechoka kifikra na jinsi ya kutatua migogoro ya Muungano, CCM tambueni kuwa Wazanzibar hawana shida na kuhongwa vyeo isipokuwa tu wanahitaji Mamraka kamili ili nao watambulike Kimataifa maana kwa mfumo wa sasa wa Serikali mbili wamemezwa hawatambuliki!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Marehemu Dr. Mgimwa alikuwa ni kiongozi asiyependa kujilimbikizia mali, hapa ndipo nyumbani kwake

    Nachukia tabia za Watu kumsifia Mtu mambo mengi mazuri akiwa tayari ameshafariki sasa naomba niulize mnafanya hivyo kwa faida ya nani? Kwa nini hamtoi sifa hizo wakati mtu akingali Hai ili aone yeye mwenyewe anavyofanya vizuri au anavyoboronga???
  3. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Kasulu watimuana

    Hata Kasisiko naye anatakiwa kuwajibishwa maana ni yeye aliyetoa tahadhari kuwa Dr Slaa asikanyage Kigoma hivyo kwa kauli hiyo na yeye alichochea vurugu zile!!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

    Inafahamika kuwa kesho tar 21 December 2013 Mbunge wa Kigoma kaskazini Mh Zitto ataingia Kigoma kwa mbwembwe nyingi lakini taarifa za uhakika toka Kigoma jioni hii kuna tangazo linalowataarifu wenye Magari wote na Pikipiki wakajaze mafuta kwenye sheli moja iliyoko Kigoma Mjini maalufu kwa jina...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Huu ndiyo ukweli unaofichwa juu ya Diwani Clementi Mabina aliyeuawa na wananchi Kisesa,Mwanza

    Hapo naona huyo Diwani naye alikuwa amelewa madaraka maana kama eneo lilikuwa limezuiliwa na Mahakama,alikodi Mabaunsa wa nini wakati alitakiwa aitaarifu mahakama ili iweke hayo mabango ya katazo chini ya ucmamizi imara wa Jeshi la Polisi!!! Huyu kafa kwa sababu ya Kiburi cha madaraka.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mwkt UVCCM atangaza kumvaa Mbowe

    Labda alikuwa anajifurahisha mbele ya hadhara Mbowe anakubalika Hai ndo maana 2005 hakugombea lakini baada ya miaka mitano yaani 2010 karudi kugombea akapasua sasa hiyo Toto ya Nasary School iliyoshiba uji inataka kuwa na njaa!!!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Jijini Mwanza: Freeman Mbowe akutana na vijana vyuo vikuu!

    Kama kawaida hakuna kulala hadi Ukombozi wa Pili wa Taifa hili Upatikane!!
Back
Top Bottom