I am into that money transaction business, and to tell you the truth sasa hiv Haina pesa kabisaaa, maana wafanyaji ni wengi sana. Let the man follow his dream anaweza fanikiwa huko kuliko kwenye hizo mpesa
Yani hii ndio reality ya wanaume wa sasa, Kila kikwazo wanachoweka kwa wanawake ni kulinda inequities zao, tuna kizazi Cha wanaume waoga sana inatia shaka.
Kuvutiwa in which sense? Mishangazi wengi sahiv tunavutiwa na waume zetu tuu maana option nje ni zero🤣..... Sema hiu Uzi bila kumtaja Extrovert ni uongo......from his comments jamaa ana tabia za kiume sana, mm namkubali huyo sana
Mm ni mlokole na nnafanya hicho alichokua anafanya mkeo,(kuombea watu madhabahuni) lakini Hilo kanisa sio mahali sahihi pa mkeo kuendelea kusali maana hawana heshima kwa ndoa, there is no way utamuheshimu mchungaji( mwanaume ) more than unavomuheshimu mumeo hata biblia inapingana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.