Recent content by Mulindi

  1. M

    Hizi ndege ziendelee kukamatwa tu mpaka pale tutapojenga nidhamu na utamaduni wa kulipa madeni ya watu wakiwemo na watumishi wa ummaM

    Umekosa uzalendo ndugu yangu. Hizi ndege tumenunua watanzania wote kwa kodi zetu, ni mali yetu wote. Sasa zikikamatwa unamkomoa nani?
  2. M

    RC wa Mbeya (CHALAMILA) aagiza waliomtupia mawe DC wapigwe sana hata wakifa sawa tu hawana hasara

    Mkuu hakuna mtu aliyefurahishwa na tukio la Lissu kushambuliwa. Ninaamini uchunguzi unaendelea kubaini waliohusika. Ila kushambuliwa kiongozi wa ngazi ya juu wa serikali kama DC si sahihi. Hao wananchi waliohusika lazima washikishwe adabu.
  3. M

    RC wa Mbeya (CHALAMILA) aagiza waliomtupia mawe DC wapigwe sana hata wakifa sawa tu hawana hasara

    Mlitaka RC Chalamila aseme nini? Hamkemei uhuni uliofanywa dhidi ya DC Claudia na kamati yake ya ulinzi na usalama lakini mnamkemea RC? Wangemdhuru DC na timu yake mngefurahi? Sisemi auwe mtu yeyote lakini lazima hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao. This is not a lawless country in which...
  4. M

    Kagame ni tishio la usalama Afrika Mashariki na kati. Akiingia vitani, Tanzania, Kenya, Congo na Burundi ziungane zimpige

    Huu ni upuuzi.Unafikiri Kagame ni mjinga atake kupigana na Tanzania? Hivi mnalionaje jeshi letu nyie? Kuna watu hawalali kuhakikisha usalama na ulinzi wa nchi hii. Rwanda haiwezi hata siku moja kujilengesha kwa vita na Tanzania. Mmesahau yaliyomtokea Maj Buyoya wa Burundi miaka ile alipotaka...
  5. M

    Ukweli juu ya Uraia wa Emmanuel Papian, Mbunge wa Kiteto

    Ni kwa kuwa matendo yao yana viashiria vya kisaliti saliti. Baba wa Kabendera inadaiwa alikuwa interahamwe wakati wa genocide against the Tutsi. Sishangai.
  6. M

    Sababu za Watanzania wengi kufurahia kukamatwa kwa ndege ya ATCL nchini Afrika Kusini

    Wasaliti tu. Ni kama kufurahia pale sehemu ya nyumba yako unayoishi kupata hitilafu ya umeme au miundombinu maji. Hizi ndege zimenunuliwa kwa fedha za walipa kodi. Ni mali yetu wote watanzania. Kushabikia uhujumu huu ni usaliti.
  7. M

    Wakati sakata la Ndege halijakwisha, Symbion Power wameleta RB

    Hawa watanzania wanaoshirikiana na mabeberu kuihujumu nchi wawe mawakili wa serikali, kujitegemea au wanasiasa wakibainika lazima wachukuliwe hatua za kisheria. Ikibidi wapotezwe tu kwa maana ni wasaliti. Pumbavu sana.
  8. M

    Ukweli juu ya Uraia wa Emmanuel Papian, Mbunge wa Kiteto

    Acheni chuki dhidi ya Rwanda. Tena sio Rwanda tu,adui hapa ni Rwandese Tutsi. Mbona hamuwasemi wenye asili ya Uganda, Kenya, DRC,Malawi, Zambia,Msumbiji,Comoro? Wamejaa tele hapa Tanzania lakini kila kukicha nyie ni kuwasema wanyarwanda (Tutsi). Kwanza mipaka hii ni superficial iliwekwa na...
  9. M

    Nilichogundua Dr. Mashinji ni mfanyakazi hewa

    Kambi ya Mheshimiwa Mbowe mmeanza kampeni to discredit Dr Mashinji aka "kyasaka". Chadema mnasikitisha sana. Njooni CCM tujenge nchi. Hakuna upinzani Tanzania bali kuna magenge ya kikabila na kidini na kisaliti ya waganga njaa.
  10. M

    Ufisadi mwingine wa Watanganyika dhidi ya Zanzibar huu hapa!!

    Yet you took the time to respond to my post. Kwi kwi kwi. Sikiliza bwana mkubwa. Mko weak as a people kwa sababu mmejaa chuki. Kwenu Tanganyika ni adui. Lakini kutwa mnashinda vijiweni mnacheza bao. Mara zote nikija Zanzibar nakuta vijana wa rika mbali mbali wamekaa vijiweni wanakunywa kahawa...
  11. M

    Ufisadi mwingine wa Watanganyika dhidi ya Zanzibar huu hapa!!

    Pigeni vita umasikini na chuki baina yenu. Mmejaa hila na chuki za vizazi na vizazi. Tanganyika kuiachia Zanzibar halitatokea any time soon kwa sababu you are very weak as a people. Mtaishia kurudisha waarabu na kuanza kuchinjana tena. Aidha, mtakuwa base ya al qaeda na ISIS/L au al shabaab...
  12. M

    TARURA mnatesa wakandarasi, tulipeni pesa zetu

    Miezi miwili tu unalalamika mkuu? Karibu kwenye construction. Ila pole sana. Mimi kazi za namna hii nazikimbia kwa sababu hizo hizo za malipo. Ni maumivu sana kwa wakandarasi. Ukandarasi unataka kifua sana na mahesabu na mbinu kali sana la si hivyo utadhulumiwa sana au kuonekana tapeli. You...
  13. M

    Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

    Mkuu mbona povu linakutoka mpaka unarusha matusi kwangu? Kwanini ninyi wa aina yako mkishindwa hoja mnakimbilia matusi? Najibu maswali yako ifuatavyo: 1. Rais Magufuli SI dikteta kwa kuwa alichaguliwa kwa kura za wananchi walio wengi. 2. Utawala wa Rais Magufuli haukiuki Katiba bali ni utawala...
  14. M

    CPJ calls on Tanzania’s Magufuli to drop Kabendera charges, investigate Gwanda case

    Is it true that Eric Kabendera's father was a hutu power leader during the genocide against the tutsi?
  15. M

    Rwanda yatuhumiwa 'kupika' takwimu za uchumi kwa manufaa ya kisiasa

    Rais Kagame ameweza kuimarisha maisha ya wanyarwanda wa kawaida kwa kiasi kikubwa sana. The living standard has doubled under PK.
Back
Top Bottom