Upatikanaji wa Taarifa Bora kwa Rufaa, kutoka Zahanati hadi National Hospital, Bila kubebwa na mgonjwa itaongeza Ufanisi katika Mambo mawili.
1. Kumuondolea gharama mgonjwa ya kusubiri, Muda mrefu bila matibabu, i mean kuanza kutegeneza appoitment mpya. Maana mifumo itaongea na taarifa za...
TUNAELEKEA MWISHO, MWISHO, Je Hali ya utunzaji wa kumbukumbu za malipo, wagonjwa, Ujenzi katika vituo vyetu vya kutolea Huduma zipo sawa!! Je tunaweza kukubaliana kwamba tunaweza kutumia Mifumo iliyopokuboresha utunzaji wa kumbukumbu za wateja na shughuri kadha wa kadha.
Ahsante sana, Dr. hoja hapa inawezekana siyo mimi, kuna watanzania wengi sana wanakutana na aina ya kitu nilichokiibua hapa. Tuangalie extent ya jambo ili kwenye jamii yetu, Je linaweza kuzuirika?
Jana nilikuwa Safarini kutoka Moshi Dodoma, nilipanda Bus ya Shabiby, tulipofika Babati tukashuka kula, nilipofika eneo la kuchukua chakula nikagundua Siku tatu mfulizo nimekula chipsi so siwezi kula tena chipsi nikasogea kwenye wali na Samaki nikavutiwa, nilipochukua msosi nikawaza kuchukua...
Maisha Bila, Mifumo imara ya tehama yanatokea kama yanayoingiza Hasara NHIF, utambuzi wa Mnufaika Ni moja ya Faida kubwa, kama ikifanyiwa uwekezaji kitehama.
Kila kukicha NHIF inakamata watu na kufungia Vituo solution ni utambuzi sahihi wa Wanufaika, why not strategy and other insurance Company??
Umeelewa au umejibu kwa mihemko, uonekane umejibu? Wapi nimeandika hatuna standard guideline za dawa? Wapi nimeonyesha uhaba wa knowledge upande wa Dawa, wapi nimeonyesha kuna uhusiano wa medication na Tehama. Soma vizuri uelewe concept, then njoo na Hoja ya Either twendelee na mfumo tulionao ni...
Why Vituo vya kutolea Huduma vya private hakuna upotevu wa mapato? Sababu ni Usimamizi Bora wa Huduma unasaidiwa na uwepo wa mifumo bora ya Tehama kila katika eneo la Huduma, Uboreshaji wa mifumo ya kitehama utaleta Uwajibikaji na kuongeza ufanisi.
Matumizi ya Tehama yataongeza Uwajibikaji, ni nchi pekee ambayo bado mifumo ya Biometric inapatikana Halmashauri tu, Vituo vya Afya hamna, hospitali za wilaya hakuna, Na uko ndiko uwajibikaji unahitajika, lengo ikiwa ni uwepo eneo la kazi na kutatua Changamoto za Watu kwa haraka na kwa unafuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.