Nijuavyo ni kuwa mishahara ya mabalozi ni sawa na wanalipwa kwa T-shillings. Mishahara yao wanaingiziwa kwenye accounts zao hapa hapa nyumbani.
Huwa hulipwa allowance kwa dollars. Hizo hutumiwa huko walipo na viwango hutofautiana kutegemeana na nchi aliyopo Balozi. Mfano allowance atakayokuwa...
Mkuu hili tatizo ni janga kwa walio wengi...bahati mbaya sana mkulu yeye anaangaliwa na kila mtu..ila hata wewe jaribu kuangalia kila unayeongea nae kiswahili..lazima atachapia tu...wengi kwenye sehemu ya kutamkwa "R" wanatamka "L"...mfano badala ya kutamka "ramani" mtu atasema "lamani"...
Mkuu naomba kuuliza.. kwani kwa upande wako mtu kujua kuongea lugha ya Malkia ni mbaka awe na lafudhi ya watu waliozaliwa huko?...Naona kuna Waarabu na watu wa mataifa mengine wenye lafudhi nzito kiasi kwamba kwenye "the" wanatamka "ze" lakini ukiondoa hizo dilect zao bado utakuta wanazungumza...
"Therathini" = Thelathini
Kiswahili ni kigumu kuliko tunavyofikiria hivyo hata sisi wakosoaji tujiangalie wenyewe kwanza kabla hatujaanza kukosoa wengine.
Mkuu wakati Mwalimu anakwenda lraq alikuwa bado President wa TZ. Vita ilianza si muda mrefu sana baada ya ziara yake.
Vita ilianza 22/09/80 Mwalimu akiwa bado Rais na viliisha rasmi tarehe 20/08/1988..
Mwalimu alitoka madarakani vita vikiwa bado vinaunguruma.
Mkuu Mwalimu alikwenda lraq mwaka 79 baada ya vita vya Kagera. Na safari yake ilikuwa ni maalum ya kwenda kuonana na Rais Saddam Hussein. Hivyo walitoka Dar wakasimama Eritrea kujaza mafuta kisha wakaendelea na safari mbaka kwa Saddam.
Kwenye maongezi yao ndipo alipomshauri kuwa asijidanganye...
Mkuu uliyozungumza ni kweli kabisa kuwa Nyerere alikutana Saddam..najua utapingwa sana kwenye hili. Lakini hicho unachokizungumza ni kweli walikutana na labda niseme tu "hakumkalipia" bali alimpa ushauri.
Ukitaka habari zaidi kuhusu hiyo habari kwa kina njoo inbox nitakupati jina la mmoja wa...
Salamu wakuu. Natafuta eneo zuri la kufungua biashara ya kuosha magari.
Hata kama kuna mtu anapangisha naomba tuwasiliane.
Mimi nipo Dar na biashara hiyo nataka kuifungulia hapa hapa Dar.[emoji120][emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.