Ili ndo tatzo kubwa sana la sisi watu weusi tunadhani tunaitaji msaada kutoka kwenye mataifa mengine ndo ile ya kuendelea kutegemea mataifa ya watu …
wakati nao wanamasilai yao… ni lini Tanzania tutakuwa baba wa kuchukua majukumu ya kila kitu kwenye familia? Hatuitaji mtu yoyote Yule zaidi ya...
Mimi nadhani sisi ni kundi kubwa sana la watu ukilinganisha na kundi dogo sana linalo faidika na raslimali nzima ya watanzania…
Nakumbuka hii nchi wapepigania ma babu zetu na uhuru tumepata sasa hiki wapi ile elimu bora, utawala bora na afya bora au ni Bado tuendelee kusubilia… angali pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.