Recent content by mukabajulizi

  1. M

    Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

    sabuni ya unga unaweza nifundisha na kunieleza upatikanaji wa raw material??
  2. M

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Vyombo vya jikoni vya bei chee na quality nzuri wapi vinapatikana?
  3. M

    Natafuta tenda ya kulisha chakula

    Ndugu zangu natafuta tenda ya kupika na kulisha watu chakula.Mwenye connection tafadhali njoo DM.nitashukuru Niko kigamboni.
  4. M

    Siioni amshamsha ya Forex, vipi watu wameshapigwa?

    Kiukweli the way forex inavyobikeep busy nachoona jamii forum ndio imepoteza mvuto kwa upande wangu.nakosa muda wa kuingia humu.ule muda nlikuwaga naingia jf najikuta nimezama tu kwenye forex.sasa wale wa kusubiri amsha amsha mtasubiri sana kwa kweli.
  5. M

    Forex : Mirejesho imepungua mno kulikoni?

    Yani the way niko busy na forex najikuta hata jf sina time ya kuingia kama zamani Ýyn
  6. M

    Forex : Mirejesho imepungua mno kulikoni?

    Wacha na mimi niseme kidogo Mimi ni mwanafunzi ktk hii bishara nina siku 15 tu leo toka nianze nimeianza kwa uoga sana sana lakini mpaka leo tarehe 15 asubuhi saa 1 nimesharudisha zaidi ya asilimia 80 ya pesa nilio anza nayo kama mtaji.natumaini mpaka mwezi uishe nitakuwa nimepata faida zaidi ya...
  7. M

    Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

    Dar itakuwa lini tena?tuliochelewa?
  8. M

    Natafuta mshirika(partner) wa biashara ya bucha

    Niko na baadhi ya vifaa tuwasiliane nikuuuzie bei nzuri.meza nzuri kubwa ya kukatia nyama ya chuma pamoja na nguzo za chuma za kutundika nyama.ziko ktk hali nzuri nilifunga biadhara yangu.
  9. M

    Una Idea ila kuiweka sokoni inakuwa vigumu? Tengeneza wajinga wengi sana akilini mwako na utatoboa

    Tatizo lako you are taking it too personal waliocomment kwenye hii post mbona wengi tuuu why ujihisi wewe ndio unapashwa na mipasho ya pwani?wapi nimekupinga?nafurahi kuona bado unasupport comment yangu huku unanitusi." If there is no demand,then create one upate pesa".....post za nyuma sio...
  10. M

    Una Idea ila kuiweka sokoni inakuwa vigumu? Tengeneza wajinga wengi sana akilini mwako na utatoboa

    Asante kwa matusi yako ndugu.nashukuru msg imekuwa delivered mubasharaaaaaa kabisa.tena mahali nanapohusika kabisaaa. Zingatia:hata mimi comment yangu haijatolewa kwa ajili yako.
  11. M

    Una Idea ila kuiweka sokoni inakuwa vigumu? Tengeneza wajinga wengi sana akilini mwako na utatoboa

    International financial mgt hii tumeisoma kama one of the largest business in the world na haina barriers to entry....anyone can enter at any time akitaka.hata hivyo mnaposema mtu anacheza na akili za watu kwani hamkusoma kwenye marketing if there is no demand and you want to sell then create...
  12. M

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Napifa simu ya yule dada anipe maelekezo hapokei.naomba msaada kwa mlioattend darasa
  13. M

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Nahtaji kufika huko tmt lakini nisaidieni kujua.nikija lipia mafunzo je hizo software nazipata bure ama kuna malipo gani mengine niyategemee kabla sijaanza kutrade?
  14. M

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Afdhali maana tumesubiru sana.ila ontario hakuna nafasi za upendeleo kwa kina dada?alafu darasa litachukua muda gani ikibidi tuombe likizo makazini.tumaomba utupatie maelekezo mapema....wako mwanafunzi mtiiifu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom