Recent content by Mujungukwenda

  1. Mujungukwenda

    Mwinjilisti: Barua kwa Rais Magufuli, kwanini umejiandaa kumwaga damu za watanzania wasio na hatia?

    Bora kaongea kuliko kukaa kimya kabisa. Isije ikawa "mimi nilijua tu, lakini sikusema tu!"
  2. Mujungukwenda

    Diwani amcharukia Magufuli: Hakuna Mwananchi atakayefyeka bangi kwenye kata yangu

    Mbona mtu anabainika kuwa na cheti feki, analindwa na kupewa vyeo badala ya kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria?
  3. Mujungukwenda

    LEONARDO DA VINCI: Miongoni mwa wanadamu wachache unaopaswa kuwafahamu

    Yesu ni Mungu au mwana wa Mungu? Unasoma biblia juu chini!
  4. Mujungukwenda

    LEONARDO DA VINCI: Miongoni mwa wanadamu wachache unaopaswa kuwafahamu

    Ushoga ni kilema kama vilivyo vilema vingine, usiwahukumu mashoga!
  5. Mujungukwenda

    LEONARDO DA VINCI: Miongoni mwa wanadamu wachache unaopaswa kuwafahamu

    Tofautisha kati ya vipaji na vipawa na akili
  6. Mujungukwenda

    Najua 90% mtakosa hii..

    Hakuna kitu kinaitwa ANIMA
  7. Mujungukwenda

    Tofauti ya wazi ya waraka wa TEC na KKKT

    kanisa la kiinjili la kilutheri kutoka tanzania
  8. Mujungukwenda

    Utafiti mwepesi: Neno maarufu JamiiForums ni 'mkuu'

    Na kule mjengoni neno maarufu kwa maana ya kutumika mara nyingi na wabunge ni 'kwa kuwa'
  9. Mujungukwenda

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Nyumba(NHC), Blandina Nyoni na bodi yake yote

    Taarifa kama hizi kwa nini zinatolewa kwa kuelekezwa (address) kwa vyombo vya habari, badala ya kuelezwa kwa umma? Vyombo vya habari viko juu ya umma? Tutafakari!
Back
Top Bottom