Recent content by mujungu

  1. mujungu

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aagiza Wabunge wote waelezwe kinachoendelea Ngorongoro

    Sheria ya Ngorongoro imepitwa na wakati lakini Katiba iko kwenye wakati
  2. mujungu

    JamiiForums Tanzania Waziri Waitara akagua tiketi za mabasi ya mkoani Magufuli Bus Terminal na kwenda hadi Nyegezi Mwanza, aamuru waliolanguliwa warejeshewe fedha zao!

    Mbona Mafuta ya kula yamepanda bei maradufu hajaenda mtu dukani kuwarudishia wateja hela zao
  3. mujungu

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Zitto Kabwe: Jitoe kwenye Kamati ya Msajili wa Vyama vya Siasa, hana nia njema

    Pointi kubwa ni kujadili utekelezaji wa sheria!!! Kwamba imeandikwa Usiibe , sijui tunajadili jinsi ya kuiba??
  4. mujungu

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma ni vema ikajadiliwa' ni kuhusu Mitandao ya Kijamii

    JPM aliwaambia anajua hoteli wanazofikia na pesa wanazolipwa na walikaa kimya. Leo watu kulalamika mambo yanavyoendeshwa imekuwa nongwa.
  5. mujungu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu kama utatawala kwa kutokuzingatia haki, HAKI halisi itahitimisha safari yako utawala

    Kwetu sisi wakongwe hizi drama hazikuanza leo, namkumbuka Mahita na visu vyenye benders za cuf akiongelea ugaidi, kwao wanaona Raha.
  6. mujungu

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima: Tanzania inashindwa kuendelea mbele kutokana na kutokuwa na muendelezo wa utawala mmoja kwenda mwingine

    Majibu yote yako kwenye rasimu ya katiba ya Warioba, wasipindishe maneno waongelee katiba mpya.
  7. mujungu

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: TRA Sijawatuma mkusanye kodi ya dhuluma

    Du kazi hipo, Mpango alisema bungeni mambo si shwari.
  8. mujungu

    JamiiForums Tanzania Wabunge washangaa sheria ya mafao, wasema kipengele cha mstaafu kulipwa 25% na 75% kwa miaka 12 kilifichwa

    Kuna sisi wa dei waka aka mkataba, sijui inasemaje???
  9. mujungu

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mfanyakazi na bado una imani na CCM, basi utakuwa unatatizo

    Kale kawimbo 'acha waisome namba Eeeee '
  10. mujungu

    JamiiForums Tanzania Sakata la Mafao: Spika wa Bunge kaudanganya umma? Hongera marehemu Bilago kwa kuacha alama

    Kuna watu wanasema mimi hainihusu, una Baba, Mama mjimba Shangazi kaka dada wote wako kwenye hili gereza, mbaya zaidi wanaotafuta kazi na walioko mashuleni linawasubili kwa hamu hata waliosema ndiyooooo. Ndugu zao wamo. Walichofanikiwa ni kuua nguvu ya vyama vya wafanyakazi .wanaenda kwenye...
  11. mujungu

    JamiiForums Tanzania Serikali imeanza kujenga daraja jipya eneo la Wami mkoani Pwani

    Kwa hili , ongereni .
  12. mujungu

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Wafanyabiashara msiponunua Korosho kwa bei reasonable, Serikali tutanunua kwa siku mbili tu. Uwezo tunao!

    Kuna shida kama taifa. Wakulima hupewa ruzuku kufidia gharama za uzalishaji na sio serekali kununua . Soko la Dunia likoje ?? Ni Ngumu kushindana na soko .
  13. mujungu

    JamiiForums Tanzania Sheria Mpya: Kama hujafikisha miaka 45, hakuna kuendesha basi au lori

    Tunaomba takwimu , maana uwa tunapewa takwimu za makusanyo ya mabilioni na sio makosa gani yameongoza na kwanini na nini kifanyike. Hili ndio tatizo letu.
Back
Top Bottom