W
Wadau ni miaka mitatu tangu niandike hii meseji sasa naomba nitumie nafasi hii ni kweli yapo maumivu kwa watu wengi hasa upande wa IT, Computer science na Related field, baada ya kuongea na wadau mbalimbali wenye maumivu kama hayo tumekuja na suluhisho ambalo tutalitoa soon, na hakika...
Kaka jaziba ishaishagha ni muda MFA mrefu sana , nlikuwa na watafutia angle nimehisi wanakaribia , lakini nkidadavua , njia hapo wanaweza kuzibrock kabla , ila kwa walioibiwa ntawasaidia hizo njia na sitaki kulipwa MTU asije akajua natafuta kulipwa no no.
Battle nimerekebisha mkuu thanks
Nawasalimu wana JF,
naamini kwenye jamii zetu tuna wagunduzi wengi wa vitu vipya kwa upande wa teknolojia ila shida ambayo imekuwa kikwazo kikubwa , ni hayo mawazo yamekuwa yakikumbana na vikwazo wakati wakuyatekeleza pamoja na vikwazo kedekede ikiwemo kukosa mtaji. Fedha za utafiti, wataalam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.