Braza.. mbona unconditionally bae sio sauti sol ft ali kiba (according to official account ya sauti sol)? Ile nyimbo ni ya wote ni sauti sol and ali kiba, kama ilivyo ile nagharamia alioimba na christian bella. Na kama jamaa angetoa album leo angeuweka pia kama moja ya nyimbo zake. So alikuwa na...
Hizi habari za kila siku diamond na ali kiba ndo zinadhoofisha mziki wetu. Yani haiwezekani kila siku watu wawili pekee ndo wapewe airtime kiasi hicho.
Wakamuombe msamaha le mutuz...ha ha ha ha
Wasanii wa bongo wanajitahidi ila mwaka huu hukua wao.
Ila wakome kutoa flat songs na kuconcetrate sana kwenye youtube views. Tunataka kuona wasanii wa bongo wanafanya collabo na hot artists duniani,
I really mean hot artists na sio msanii yoyote tu...
Diamond katoa nyimbo ngapi bora mwaka huu, na wizkid katoa nyimbo ngapi bora mwaka huu?
Ifike mahali wasanii wa bongo wasitoe nyimbo kama mashindano, we want some quality songs na zinazodumu kwa muda mrefu.
Wizkid hatoi nyimbo ovyo ovyo ila akitoa anatoa jiwe la maana, namkubali sana tekno...
Waanze kuwaangalia akina trevar noah, hasan minhaj, kelvin hart, jerry seinfeld, roy wood, jon stewart etc they can learn something from these people. Hawa watu wanachekesha bila ata kutumia nguvu.
Nyimbo nzuri. Raymond bado anaonekana kuwa genius katika kuandika mashairi(nimependa sana mashairi yake yametulia sana).Nimependa zile tafsida walizotumia kwenye mashairi yao.
Lakini video ni kali though uvaaji na uchezaji hauendani na asili ya nyimbo ( labda kwa sababu saida alitoa katika lugha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.