Ndugu yangu usilinganishe maisha ya ukoloni na hivi sasa, wakoloni walitoa elimu wakiwanamalengo yao binafsi na si kwa faida ya waafrika. Nivema tunge shauri serikali itoe sare mashuleni kama wazazi nimaskini lakini inakuwaje wazazi hawahawa wanawanunulia watoto wao nguo za kanisani/miskitini au...
Naomba kuuliza ukitumia modern ambayo tayari ikiwa unlocked ufanisi wake nisawa tu na ile ya kawaida? Au uwezo hupungua baada ya Ku unlock. Naomba uzoefu wakuu.
Habari za asubuhi wadau wote wa jukwaa hili. Napenda kufahamu ukimaliza kozi ya Ukaguzi level ya Diploma waweza kuwa Mkaguzi wilaya au unarudi kufundisha tena? Naomba kuelimishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.