Yaap Kabisa.. Kabisa waliitoa,pia hii mikoa inachangamoto ya Huduma za afya,ni moja ya mikoa ambayo unauhaba wa wauguzi,ukifuatilia tatzo kubwa,wauguz unakuta hawakai kwa matishio mbali mbali,kwahy wanaamua kuondoka tu. Very bad kwa kweli
HahHah, shida siyo uchawi tuu, watu hawataki kuelimika, wengiwao hamekalilishwa vitu vya kijinga,japo natoka kigoma kuna vitu vinakera ukiwa unavisikia karne hii ya 21,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.