kufanya mema bila ya kuwa na dini sahihi umeona wap Tunisia akili Kwa hiyo ukimuabudu shetani halafu ukaw unafanya mema hiyo ni sahihi na manabii wote walikuwa na dini iweje wew usiwe na dini
hahika dini moja tu mbele ya mwenyezimungu ni uislamu atakaefika na dini isiyokuwa hiyo hatakuwa mwenye hasara
jamani wakristo kafanyieni kazi hicho kitu musome sana vitabu vyenu mutajua ukweli sio munadanganywa na wachungaji wenu
kwanza nyinyi wakristo mujue mayahudi sio ndugu zenu wao wanadini yao na ninyi mna dini yenu na ukristo haujaaziia israel umeanza kwa watu wa mataifa ( warumi na wagiriki) na na mji mtukufu ni ule baitul maqadis (jerusalem) ambako ni Palestine na sio Israel
subbuhannallah (ametakasika mwenyezimungu) hakika huyo iweje azini hakika suleimani alikuwa ana uwezo wa kuwaingilia hadi wanawake sabini(70) kwa siku kuwa na wanawake hao ni kahalalishiwa na mungu (Allah)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.